inspectorbenja
JF-Expert Member
- Oct 14, 2012
- 597
- 651
Mweeeh! Hivi pepmis bado ipo๐โโ๏ธ๐โโ๏ธBado aisee kwangu. Hawa watu siwaelewi wanavosema mambo yamesoma. Au PEPMISS imenicost?
Nafikiri kwasababu ya weekend ila kwenye jtatu na kuendelea naamini utakuwa umeshatoka Kwa wengiWadau.Mpaka saa hizi kuna kundi kubwa tu la watu hawajapata Ujira wa Mwia wakati wengine wamepata tangu jana jioni.
Shisa nlni nn.
Nadhani unachanganya mambo mkuu...nimeshamuona mja analipwa tsh 37m base pay, kati kati ya mwezi anakopa 50kJitahidi uwe na extra income mbali na mshahara wako, ama la uwe na bajeti nzuri walau mishahara ikutane,,, ndo kwanza tar 22, tayari unasumbua huoni mshahara! Kuna Nadharia inasema kuwa kama kazi unayofanya huwezi kufanya savings kwa dharura kama hizi n.k jitathimini sana na kazi unayoifanya !!!!!