Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 5,715
- 13,739
Shida ni mawezere yakoWadau.Mpaka saa hizi kuna kundi kubwa tu la watu hawajapata Ujira wa Mwia wakati wengine wamepata tangu jana jioni.
Shisa nlni nn.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida ni mawezere yakoWadau.Mpaka saa hizi kuna kundi kubwa tu la watu hawajapata Ujira wa Mwia wakati wengine wamepata tangu jana jioni.
Shisa nlni nn.
Ishi maisha yako,,,,hakunaga pesa inayotosha,,,, kuna mtu analipwa laki moja na anafamilia mambo yanaenda fresh, pia kuna mtu analipwa hata 45m monthly lakini hakuna cha maana anachofanya , kamwe usiige,,,, maisha ni yakoNadhani unachanganya mambo mkuu...nimeshamuona mja analipwa tsh 37m base pay, kati kati ya mwezi anakopa 50k
Unataka kusema mtu huyo kazi yake haimuwezeshi kufanya savings au yeye ana-adjust tundu la kuvujishia anachopat
Mi umeingia sana 9 na robo alfajiri! Dah!Shida ni mawezere yako
Mkuu, unachosema, ulichosema, unachoulizwa...havifanani nadhani!Ishi maisha yako,,,,hakunaga pesa inayotosha,,,, kuna mtu analipwa laki moja na anafamilia mambo yanaenda fresh, pia kuna mtu analipwa hata 45m monthly lakini hakuna cha maana anachofanya , kamwe usiige,,,, maisha ni yako