Ni kweli MkuuSongesha na hizo kukopa kwenye App kushushiana brand.
Kweli Siku hizi umekuwa mkorofi sana Mjukuu π€Hiyo ni meme babuπ
Jumatatu Asubuhi.Leo mshahara ukitoka na Mimi natoka nitarudi asubuhi....
Songesha mimi simshauri, labda salary advance kidogo.Pole Mkuu
Wakati mwingine tengeneza undugu na Songesha
Ama uanze kucheza Vikoba ili ukikwama kama hivyo unampigia Kijumbe anakubusti na 100k fasta π€
π€£π€£π€£Kabisa mkuu, Daah Yani mpunga naokatwa ni mshahara wa Afisa entry levelπ π π
Mkuu huwezi lala njaa na una simu au kifaa chochote kile ndani, beba kaweke bond, kesho mzigo ukiingia unaenda kukomboa.πSahivi 10:49 PM, salary haijaingia hafu uhakika wa kula mdogo.
Nikileta masihara leo nakesha na uzi wa "JF Usiku wa Manane"
Hahaha........kwamba Riba za Songesha ni kubwa kuliko Salary advance??Songesha mimi simshauri, labda salary advance kidogo.
Sasa si mpaka wafungue hizo benki mkuu, yaani alfajiri yote hiiMzigo bado huko!
Hahaha!Sasa si mpaka wafungue hizo benki mkuu, yaani alfajiri yote hii
Kabla ya saa tano asubuhiMzigo bado huko!
Wapi live band kali dar kwa leo?Kabla ya saa tano asubuhi
π€£Wapi live band kali dar kwa leo?
Huu Uzi kuna comedy mno π π πDakika 90'
Gov 1-0 watumishi.
zinaongezwa dakika 3 hapa.