Kiplayer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 1,180
- 1,964
Tayari we nenda baa kunywaMnaosema mmelipwa ni Wizara ya Ulinzi au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tayari we nenda baa kunywaMnaosema mmelipwa ni Wizara ya Ulinzi au?
Nimecheki hapa badoTayari we nenda baa kunywa
CRDB Tayari sogea karibu na ATM.Wangetulipa leo ingependeza sana
Ngoja nivute subiraCRDB Tayari sogea karibu na ATM.
Oya boss Mkurugenzi kitambi meneja tuma buku5NMB kitu tayari jioni ya leo, mitano tena kwa mama Samia🖐️View attachment 3210460View attachment 3210460
NMB tayariNimecheki hapa bado
Mkuu salary toka jana imetoka... Toka jana npo nakula pombe sio mbaya salary ikiisha nitamlaunu mama samia kwa kulipa mishahara midogo..Atoto kuna watu wanasema tayari. Mi gari inatembelea rim hapa tokea tar 15
Wameweka CRDB sio muda sana.Sio wajeda kweli hao!!!
Hahaha mi imeingia leo mkali. Imenikuta nilikua naosha mchele nipike nimeacha nimemwaga nje wale kuku wa majirani.Mkuu salary toka jana imetoka... Toka jana npo nakula pombe sio mbaya salary ikiisha nitamlaunu mama samia kwa kulipa mishahara midogo..
Nimecheka Sana. 🤣🤣🤣🤣Hahaha mi imeingia leo mkali. Imenikuta nilikua naosha mchele nipike nimeacha nimemwaga nje wale kuku wa majirani.
Mi sio wa kula wali na kachumbali mwisho wa mwezi
Mie bado, ngoja nisubiri J3.Wameweka CRDB sio muda sana.
Hii comment made my dayHahaha mi imeingia leo mkali. Imenikuta nilikua naosha mchele nipike nimeacha nimemwaga nje wale kuku wa majirani.
Mi sio wa kula wali na kachumbali mwisho wa mwezi