Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

Hakuna umasikini na laana mbaya kwenye maisha kama kuishi kwa kutegemea mshahara tu. Ni utumwa wa kisasa ambao ukichelewa kuustukia unakuwa katika hali mbaya sana baadae.
acha uzembe kumbe unamtaji
 
Labda mwezi ujao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…