Atleast familia hailali njaa.Wajeda wamelipwa jana mkuu. Mida ya saa nane mchana hivi,mimi shuhuda wa hilo..maana wife ni mjeda pia. Sisi wa Tamisemi bado π
Kabisa mkuu.Atleast familia hailali njaa.
Kulipa mara 2 ingekua poa sana. Tatizo ivi vihela vyetu jau sana, still tutaanza kulia tenaHuu Uzi huwa naukuta una trend kuanzia tarehe 21 Kila Mwezi
Nikifanikiwa kuwa paymaster general, nitakuwa nalipa Mishahara mara mbili tarehe 15 ya kila Mwezi na tarehe 30 π
yah nahisi ivyoKwahiyo kesho uhakika?
ila jw upande wa Vikas vya kv washapokeaKwahiyo kesho uhakika?
Kabisa jau labda iyo tarehe 15 iwe posho tu af salary 30.ila salary laki4 wakupe laki 2 2.Kulipa mara 2 ingekua poa sana. Tatizo ivi vihela vyetu jau sana, still tutaanza kulia tena
Kama ulikuwa unachukua laki 8 Kwa Mwezi tunaanza kulipa 400k kisha tarehe 30 tunamalizia 400k iliyobaki πKulipa mara 2 ingekua poa sana. Tatizo ivi vihela vyetu jau sana, still tutaanza kulia tena
Hahaha au ingekua option unachagua mtu ulipwe mara ngapiKama ulikuwa unachukua laki 8 Kwa Mwezi tunaanza kulipa 400k kisha tarehe 30 tunamalizia 400k iliyobaki π
Serikali sikivu ituongezee pesa aisee. Mtaani maisha yamepanda bei sanaKabisa jau labda iyo tarehe 15 iwe posho tu af salary 30.ila salary laki4 wakupe laki 2 2.
Weekend Hazina wanaweza bonyeza enter mzigo ukaingia?ila jw upande wa Vikas vya kv washapokea
Maaskari miaka ya nyuma walikuwa wakilipwa fedha ya lesheni tarehe 15 then mshahara tarehe 22, ilikuwa inawasaidia. Siku hizi sijui kama huu utaratibu bado wanaoHahaha au ingekua option unachagua mtu ulipwe mara ngapi
Akina Mama ni rahisi sana kupewa sapoti Kwa Vijana wenu kuliko sisi akina BabaHata wastaafu tunaulizia, sema hao tuliosomesha wanatupa support kubwa
Wajeda wamelipwa jana mkuu. Mida ya saa nane mchana hivi,mimi shuhuda wa hilo..maana wife ni mjeda pia. Sisi wa Tamisemi bado π
Pension mbona kama tayari?Hata wastaafu tunaulizia, sema hao tuliosomesha wanatupa support kubwa
Weekend Hazina wanaweza bonyeza enter mzigo ukaingia?
Nyie si mnaenda kuhonga? Mama atahakikisha kila kitu kiko sawa hapo homeAkina Mama ni rahisi sana kupewa sapoti Kwa Vijana wenu kuliko sisi akina Baba
Yaani Baba napewa 55k MPesa lakini Mama anatumiwa 200k
Life is not fare π
Ndo ukae na mama vizuriAkina Mama ni rahisi sana kupewa sapoti Kwa Vijana wenu kuliko sisi akina Baba
Yaani Baba napewa 55k MPesa lakini Mama anatumiwa 200k
Life is not fare π