Mshahara wa Kocha mpya Simba SC Pablo Franco unalipa Mshahara wa Nabi, Kazi, Zahera, Manara na Bumbuli huku Chenji ikibaki pia

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Awali alitaka Mshahara wa Tsh Milioni 350 kwa Mwezi ila baada ya Majadiliano na Klabu aliyoipenda ya Simba baada ya Kusimuliwa na Timu ya Sevilla ya Hispania iliyokuja Tanzania kucheza na Simba SC sasa amekubali kupokea Mshahara wa Tsh Milioni 250 kwa Mwezi na mpaka sasa ameshalipwa tayari Mishahara yake ya Miezi 6.

Yafuatayo ni Malipo ya Mishahara ya Masikini Watano wa Twiga na Jangwani....

1. Nabi...Tsh Milioni 2 na Laki 5

2. Kaze...Tsh Laki 9 na Elfu 75

3. Zahera...Tsh Laki 5 na Elfu 50

4. Manara...Tsh Laki 1 na Elfu 65

5. Bumbuli..Tsh Elfu 75 na 250 tu

Karibu sana Simba SC Kocha Pablo.
 
Upuuzi mtupu. Mnaendelea kujitekenya na kucheka wenyewe...
 
Nahuo mshahara wa nabi naskia ulipanda juzi

Afu kaze alikua analipwa laki 9 amepiga kelele wamuongezee hata 50K GSM kamlia buyu.

Jamaa akasema usinichezee mi sindo kocha' akawa anajiongeza kivyake, anapanga kikosi kwa mfumo mbovu halafu anabeti anaiua yanga
 
Rudi Milembe, bado ujapona
 

What a stupid post from a moron.
 
Utadhani pesa imetoka mfukoni mwako.
 
Weka salary slips zao ili kufanya hoja yako iwe na mashiko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…