Mshahara wa Kocha mpya Simba SC Pablo Franco unalipa Mshahara wa Nabi, Kazi, Zahera, Manara na Bumbuli huku Chenji ikibaki pia

Mshahara wa Kocha mpya Simba SC Pablo Franco unalipa Mshahara wa Nabi, Kazi, Zahera, Manara na Bumbuli huku Chenji ikibaki pia

Awali alitaka Mshahara wa Tsh Milioni 350 kwa Mwezi ila baada ya Majadiliano na Klabu aliyoipenda ya Simba baada ya Kusimuliwa na Timu ya Sevilla ya Hispania iliyokuja Tanzania kucheza na Simba SC sasa amekubali kupokea Mshahara wa Tsh Milioni 250 kwa Mwezi na mpaka sasa ameshalipwa tayari Mishahara yake ya Miezi 6.

Yafuatayo ni Malipo ya Mishahara ya Masikini Watano wa Twiga na Jangwani....

1. Nabi...Tsh Milioni 2 na Laki 5

2. Kaze...Tsh Laki 9 na Elfu 75

3. Zahera...Tsh Laki 5 na Elfu 50

4. Manara...Tsh Laki 1 na Elfu 65

5. Bumbuli..Tsh Elfu 75 na 250 tu

Karibu sana Simba SC Kocha Pablo.
Hii taarifa siyo ya kweli! Haya ni maneno ya unazi na upenzi kwa upande mmoja na ufitini kwa upande mwingine. Lete USHAHIDI!
 
Awali alitaka Mshahara wa Tsh Milioni 350 kwa Mwezi ila baada ya Majadiliano na Klabu aliyoipenda ya Simba baada ya Kusimuliwa na Timu ya Sevilla ya Hispania iliyokuja Tanzania kucheza na Simba SC sasa amekubali kupokea Mshahara wa Tsh Milioni 250 kwa Mwezi na mpaka sasa ameshalipwa tayari Mishahara yake ya Miezi 6.

Yafuatayo ni Malipo ya Mishahara ya Masikini Watano wa Twiga na Jangwani....

1. Nabi...Tsh Milioni 2 na Laki 5

2. Kaze...Tsh Laki 9 na Elfu 75

3. Zahera...Tsh Laki 5 na Elfu 50

4. Manara...Tsh Laki 1 na Elfu 65

5. Bumbuli..Tsh Elfu 75 na 250 tu

Karibu sana Simba SC Kocha Pablo.
Upupu kwenye ubora wako
 
We mbweha uliyenzisha hii mada kamasi zimeshakauka kichwani mwako sasa eh?

Tumepiga hat trick ya makombe.

1656877388048.png


Na tumeweka historia ya ligi kuu Tanzania kwa kuwa timu ya kwanza kumaliza ligi ikiwa imefungwa chini ya magoli kumi.

1656877425514.png


Hiyo ndo kazi ya Professor Nabi.

Na masuala ya hela Yanga kwa sasa usiongelee. Hakuna timu yenye hela kuliko Yanga kwa hivi sasa.
 
M
We mbweha uliyenzisha hii mada kamasi zimeshakauka kichwani mwako sasa eh?

Tumepiga hat trick ya makombe.

View attachment 2280259

Na tumeweka historia ya ligi kuu Tanzania kwa kuwa timu ya kwanza kumaliza ligi ikiwa imefungwa chini ya magoli kumi.

View attachment 2280260

Hiyo ndo kazi ya Professor Nabi.

Na masuala ya hela Yanga kwa sasa usiongelee. Hakuna timu yenye hela kuliko Yanga kwa hivi sasa.
Ukame wa miaka minne ya UKAME siyo mchezo, huu ni umri wa mtoto kwenda shule. Katika shida kama hizo, sasa mhna ayo haki ya kufurahi, ingawa ni kwa kitambo kidogo tu!
 
M

Ukame wa miaka minne ya UKAME siyo mchezo, huu ni umri wa mtoto kwenda shule. Katika shida kama hizo, sasa mhna ayo haki ya kufurahi, ingawa ni kwa kitambo kidogo tu!
Mnaoshangaa miaka minne ni watoto mliozaliwa wakati wa Jakaya, hamuijui Simba iliyonusurika kushuka daraja.

Na kwa kuwa hujui siri ya Yanga kukosa ubingwa miaka minne ndo maana unadhani tumebipu. Sasa hivi Simba ndo mtasubiri sana. Hili kombe jipya tunachukua moja kwa moja.

Iwekee alame hii post mwakani mwezi wa saba uipitie tena
 
Mnaoshangaa miaka minne ni watoto mliozaliwa wakati wa Jakaya, hamuijui Simba iliyonusurika kushuka daraja.

Na kwa kuwa hujui siri ya Yanga kukosa ubingwa miaka minne ndo maana unadhani tumebipu. Sasa hivi Simba ndo mtasubiri sana. Hili kombe jipya tunachukua moja kwa moja.

Iwekee alame hii post mwakani mwezi wa saba uipitie tena
Hakuna mtu ana deal na UONGO NA UZUSHI NA MIHEMUKO ya kubip!
 
Back
Top Bottom