daniellufumbula
New Member
- Dec 22, 2014
- 1
- 0
jamani nina mshahara wa laki mbili tu, na ninamke na mtoto mmoja,hivyo naiona ni pesa ndogo sana make ndo naitegemea kula kuvaa na kila kitu,so nifanye nn ili niweze kujikizi vizuri na kufanya maendeleo mengne?