emmarki
JF-Expert Member
- Nov 22, 2012
- 1,001
- 1,430
tafuta geto magomeni, unatembea kwa miguu chapWakubwa nimewaelewa, kazi ipo kariako.Nieneo gani lilopo karibu na kariakoo kwa kupangisha room?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tafuta geto magomeni, unatembea kwa miguu chapWakubwa nimewaelewa, kazi ipo kariako.Nieneo gani lilopo karibu na kariakoo kwa kupangisha room?
Ilala au keko. Magomen vyumba juutafuta geto magomeni, unatembea kwa miguu chap
Kujiongeza kupo sio rahisi 10 yrs kiwango kiwe hichohichoAtaenda wapi sasa labuda apige dili la wizi.mpwayungu mpaka leo anakula vumbi la chaki na ualimu wake.laki tatu sio mshahara ni panodol inatuliza maumivu siku moja mbili baadae njaa mpaka mwisho wa mwezi
Azingatie huu ushauri tulikujaga na mabegi ya nguo..Daslam nenda na nguvu na akili zako mengine yote utayakuta huko daslam ndo mji pekee unaweza enda Bila hela na ukarudi tajiri
Lakini pili daslam unaweza enda tajiri ukarudi maskini
Maamuzi ni yako
Mwaka ganMshahara wa laki 3 unatoboa vizuri tu mm nimeishi na mwanamke kwa huo Mshahara kwa mwaka mmoja na nusu ila tu ukubali kuishi maisha ya kipato cha chini kabisa bila kuangalia watu watakuonaje.
Zingatia kodi chakula then usafiri.
2021_2023Mwaka gan
Kazi ipo kariako, eneo gani la kupangisha room lip karibu na kariako?
Unakuta mvua kidogo maji yamejaa ndani usawa wa dirisha, halafu mtu anakwambia anaishi vizuriSwali sio kuishi swali ni wanaishije ? Maana kuishi hata paka anaishi.
NAKAZIA📌🔨Hilo swali hautopata majibu sahihi Ila kila MTU Ana life path yake .
Hiyo Kazi ni stepping stones itumie kukufikisha sehemu Fulani .
Ukifika DSM jenga network na watu wenye potential , kuwa nidhamu ya pesa , kaa mbali na mambo yote negative Kama , kamali, pombe ,uzinzi n.k.
Blueprint