ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Kuna percentage unatakiwa upewe kwenye makusanyo utakayofanya..nimesahau Ni asilimia ngapMkataba ukiisha unaajiliwa au unarudi nyumbani?wanalipaje kuna posho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna percentage unatakiwa upewe kwenye makusanyo utakayofanya..nimesahau Ni asilimia ngapMkataba ukiisha unaajiliwa au unarudi nyumbani?wanalipaje kuna posho
Na iwe hivyo kwa kwelKaeni mkao wa kula damu changa
Hili Jina lako nishawahi lisikia Sana mzee baba kwa Madereva Noah wa IKUNGI nilikuwa najiulizaga ndiyo wewe!Me nipo singida na nimemaliza Chuo Cha maji mwaka juzi tu HYM hata Mimi nimeomba hizo kazi mikoa ya singida,simiyu na manyara..hata hivyo Kuna mradi wa maji nilipewa na bodi ta Kijiji nisimamie ila umenishinda asee changamoto Ni nyingi Sana watu wa vijijini sio wastaraabu wanakata mabomba makusudi Yale yaliyo kwenye korongo...af kingine huwa mradi ulijengwa toka 2015 kwa hivyo ufisadi ulikuwa mkubwa walikuwa wanakula hela za mafuta ya kwenye mashine hawajazi Tanki..nikaachana na huo mradi nasubiria na Mimi soon nimeambiwa kwenye Mwezi ujao mwanzoni af nasikia utaratibu unaweza kuwa mzuri ukashangaa miezi sita haifiki miezi miwili tu unapewa mkataba
Mkuu nimepigiwa naona hawana malipo kupotezeana mda,bora ruwasa ila sio jumuiya zao umaskini tuWakuu hv hakuna ata mtu mmoja aliepigiwa simu RUWASA mpk mda huu?
Anhaa, kwahiyo ruwasa wenyewe hawajapiga simu bado?Mkuu nimepigiwa naona hawana malipo kupotezeana mda,bora ruwasa ila sio jumuiya zao umaskini tu
Jumuiya zao zinapewa miradi wanaajili watu kwa mkataba kama tulizoomba,ukipata zile kazi unakua umeajiliwa na jumuiya sio ruwasa,ruwasa ni wakala wanasimamia jumuiyaAnhaa, kwahiyo ruwasa wenyewe hawajapiga simu bado?
Na jumuiya zao zinakuaje?
Anhaa kwahiyo jumuiya zao hazina ishu, ila lile tangazo walilotoa mwez uliopita nahisi ni Ruwasa wenyewe.Jumuiya zao zinapewa miradi wanaajili watu kwa mkataba kama tulizoomba,ukipata zile kazi unakua umeajiliwa na jumuiya sio ruwasa,ruwasa ni wakala wanasimamia jumuiya
Ukiona kimya, bhas itakuwa badoWakuu hakuna aliepigiwa simu na jamaa wa ruwasa till now..
waungwana naomba nifahamu mshahara wa msimamizi wa jumuiya miradai ya usambazaji wa maji vijijini RUWASA
Makusanyo yakiwa juu na pesa mtayolipwa itakua juu and vice versawaungwana naomba nifahamu mshahara wa msimamizi wa jumuiya miradai ya usambazaji wa maji vijijini RUWASA
aisee mbona kama RUWASA wanapiga kimya au magumashiMzee wahandisi tuko kitaa mda tu, so tunaombea fursa kama hizo zijitokeze, tutaelewana mbele kwa mbele huko
Mimi nimeomba as afisa maendeleo ya jamii nataka subili tuone je tukipewa chance je ni kazi gani kubwa tunaenda fanya maana tupo tu mtaaani kwa sasahivi hadi maafisa maendeleo ya jamii wanaajiriwa RUWASA ? duh....fursa zikifunguka watu watapata kazi.nimeona tangazo lao wanakiri uhaba wa wafanyakazi na hii ni taasisi moja tu nchini.
Sahihi ndugu zangu mtaaani kugumu sana mpaka sio poa yan... tusubli tuone ndugu zanguMkuu kwan na ww uliomba zile kazi za kujitolea?
Naamini soon wataita watu, tuwe na subra tu, bora mtu upate ujuzi kuliko kukaa bure mbeleni Mungu atafanya wepesi
Mzee sio pekee yako, hadi mimi naona jamaa wameufyata kimya, mwezi tena saa hv tokea deadline yao, kuna mdau hapo juu kasikia yeye kuwa ni mwanzoni wa mwezi wa 5aisee mbona kama RUWASA wanapiga kimya au magumashi
SjawalewaaaaaMzee sio pekee yako, hadi mimi naona jamaa wameufyata kimya, mwezi tena saa hv tokea deadline yao, kuna mdau hapo juu kasikia yeye kuwa ni mwanzoni wa mwezi wa 5