Mshahara wa Mwalimu (Madeni kama yote)

Mshahara wa Mwalimu (Madeni kama yote)

Mjanja M1

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2018
Posts
4,058
Reaction score
14,382
20240802_203732.jpg
 
Inategemea na mkopo alifanyia nini kama ali invest na ROI iko vizuri mbona hata haina noma, kimbembe iwe mambo hayakwenda ulivyotegemea, lazima uwe na msongo wa mawazo yale mashati ya vitenge wanayoyapenda lazima yavaliwe yamegeuzwa nje ndani otherwise kuwe na posho nyingi huko kazini
 
Halafu no mwalimu mwenye miaka mingi kazini kwa mujibu wa hiyo scale.

Usikute amekaribia kustaafu maana mwalimu hadi aje afikie scale E amesota muda mrefu kazini.
Mwalimu wa shahada aliyedumu kazini miaka minne tu anadaka hicho kiasi!
Hivyo si kweli kwamba scale hiyo ni mwalimu anayekaribia kustaafu.
 
Back
Top Bottom