kabisa, kwa mikopo hiyo lazima anamiliki sheli, usijekuta vituo vya afro oil ni vyakeKuleta salary slip bila kutuonyesha amewekeza wapi ni wivu na husuda, ukute jamaa ni tajili kwa mikopo hiyohiyo !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kabisa, kwa mikopo hiyo lazima anamiliki sheli, usijekuta vituo vya afro oil ni vyakeKuleta salary slip bila kutuonyesha amewekeza wapi ni wivu na husuda, ukute jamaa ni tajili kwa mikopo hiyohiyo !
Duuuh.hali ni tete
Kikubwa ukiweza kupunguza tamaa ya utajiri wa haraka/ maendeleo ya ulimbukeni na ukawa na malengo yasiyofuata mkumbo,,, utainjoy Sana. Wanaoutukana utumishi wa uma utawashangaaUkiwa muajiriwa, ukaweza kujidhibiti kutokukopa, unakuwa umepiga hatua kubwa sana..
Point ya kuondoka nayo hiiKikubwa ukiweza kupunguza tamaa ya utajiri wa haraka/ maendeleo ya ulimbukeni na ukawa na malengo yasiyofuata mkumbo,,, utainjoy Sana. Wanaoutukana utumishi wa uma utawashangaa
Mshahara ni mkubwa kabisa, sasa mwalimu alitaka alipwe milioni ndani, kumi na tano,kama engineer wa Vodacom?Maha