ibramy
JF-Expert Member
- Jul 23, 2019
- 642
- 967
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Acha zinipite hivi, tutakutana mwezi dume ( january
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Acha zinipite hivi, tutakutana mwezi dume ( january
In sha allah..!One day ntakuwa muulizaji pia...
Msomi huko ni mbali24/12
Itasaidia pesa kutoisha kabla ya new yearMsomi huko ni mbali
Msomi huko ni mbali
Nimejikuta na bonyeza ka loanBado Brother. Nadhani Tarehe 22 hivi ila haifiki Alhamis.
Maisha magumu kingese man.
View attachment 1655075
Limeni ili wenye mishahara wanunue mazao yenunjoo morogoro tulime huku ardhi ina rutuba
Amin mkuu, itafika tu sikuOne day ntakuwa muulizaji pia...
Amin bro, hakuna yasiyo na mwisho. [emoji106]One day ntakuwa muulizaji pia...
Wadau vipi ka salary ka mwezi huu wa pesa hazitoshi.
Wenzangu mmekaona? Tuambizane maana hapa nina buku tu la bodaboda kunipeleka kwa ATM.
Nikizikoswa ndo yatakuwa majanga zaidi.
Kwa walio na simbank tujuzani.
Nipo NBC.
Mkuu adimu sana.Duuuh Mnafanya kazi sehemu gani? Mimi huku kwenye biashara yangu watu waliokopa mkaa wamenilipa hela yangu tar 15 ,ina maana washapewa mshahara wa Dec tangia tar 15.
East Africa Radio/TV wamepewa leo tar 20.
Hapa ndipo wafuasi wa chama chakavu mnaponishangaza.Wadau vipi ka salary ka mwezi huu wa pesa hazitoshi.
Wenzangu mmekaona? Tuambizane maana hapa nina buku tu la bodaboda kunipeleka kwa ATM.
Nikizikoswa ndo yatakuwa majanga zaidi.
Kwa walio na simbank tujuzani.
Nipo NBC.