King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Nipo nipo porini Mkuu ,Pilika pilika za sikukuu kuleta mkaa town.Mkuu adimu sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo nipo porini Mkuu ,Pilika pilika za sikukuu kuleta mkaa town.Mkuu adimu sana.
Minjingu au sio? HahahaNipo nipo porini Mkuu ,Pilika pilika za sikukuu kuleta mkaa town.
Imeisha hiyooooooooMimi sector binafsi nimelipwa toka ijumaa.
Yes MINJINGU Mkuu.Minjingu au sio? Hahaha
Angalieni a/c zenu sasa
Kwani huezi kucheki salio kupitia Mobile? Au hela ikiingia kwenye account yako huwa hupati notification ya text?Mkuu nipe uhakika ili nijisogeze ATM kwa mkopo wa bodaboda asije nitolea mkanda.
[emoji847][emoji847][emoji847]Angalieni a/c zenu sasa
[emoji23][emoji23][emoji23]Hawa watumishi hawa,anashindwa nini kucheki salio kwanza?Kwani huezi kucheki salio kupitia Mobile? Au hela ikiingia kwenye account yako huwa hupati notification ya text?
NitakupaWengine tushamaliza mishahara yetu[emoji24][emoji24]sikukuu ishakuwa mbaya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mpaka dec 26 mkuu.
HahahahaManeno ya mkosaji
Kharidi analalamika , Gangana nae analazimisha.
Nimeingiza kadi yangu ya NBCmastercard ATM ya crdb nikaomba kutoa 500,000 /= ikakubari nikajua wamo!
Nashangaa naambiwa sina salio, wakati nilianza kupiga hesabu naanzia kwa mangi nipate supu ya mkia na castel lite mbili baridi ndo nifike home!!
Hizi huduma za mastercard zitakuja kuongeza ugonjwa maana hapa natoka hata ya daradara sina tena.
Ahsante mpendwaNitakupa