Mshahara wa November

Mshahara wa November

Wewe mwalimu ni fala,
Wewe ni mjinga

Wewe unasifi kuwa hela ni za rahisi, wakati twalipa kodi, rahisi hajawahi kuwa na hela

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Asante Mkuu!.. Mimi sikuwahi kuhisi Kama Ni mjinga au fala!.. hebu thibitisha hiki unachosema wapi lini nimesema huo utopolo uliosema hapo?.. vinginevyoo utakua ndo hao majuha wanaoponda walimu wakati wanaishi kwa juhudi za kiuno Cha dada!.just reply kwa hiyo text nione!.. nahisi umevurugwa na kipigo Cha Argentina !..SIJAWAHI ONGEA UTUMBI HUO,,,,,,,, UMEKOSEA MKAMALIAA ,,,,,,,
NB: sisi tunafurahia kazi yetu na tunachokipata ndo maaan hatujaacha na hatuachi,,,,Sasa nyinyi kinawawasha Nini?.. endeleeni kuenjoy kazi zenu zenye mpunga mrefuuuu[emoji23][emoji23][emoji23]
 
images (1).jpeg
 
Back
Top Bottom