Mshahara wa nyota mpya wa Simba, Adam Salamba ni milioni 48

Huyo Mo ndio kavaa nini? Kijana wa kiume kwa mavazi hayo hapana kwakweli
 
Huo usafiri wa tajiri sasa.
 
Aaaaaaghkaaa!!!!!! mo kachafua na kipensi chake, mashaka sana hicho kipensi.
 
Ni kweli kwasababu ukichukua 48,000,000×12= ? Halafu mara 2 ingekuwa balaa
Wacha kabisa. Ila tusubiri tuone ni nini atafanya msimu ujao huyo Adam Salamba.
 
karibu usugue bench
 
Lkn upande wetu mmhh kila siku naona kama mambo si mambo tena
Mdogo mdogo Mkuu sababu huwa wanasema hakuna aijuaye kesho huenda huko mbele mambo yakawa tofauti kabisa na tunayoana sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…