Mshahara wa Oktoba bado tu?

Mshahara wa Oktoba bado tu?

878e73463b80f6843c7816a58b22c002.jpg
 
My sister once told me,,,"Juma kama we ni m2mishi na mwez hata haujafika kat huna hata 10000,hiyo kaz ni bora uache...."nikaa nkafkiri kwa kina mateso nayopta huko mzigon nkaona bora nkae zangu pemben nowaachie ajira yao....yaan dume zima ukiombwa hata lak 1 tu daily huna...
Kwa hiyo mzee huwezi kufanya maamuzi binafsi kuhusu maisha yako hadi utumie akili za dada yako.
 
Na michango ya ndoa[emoji23]
Hapa nina Kadi 3 [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119] [emoji119] [emoji119] Michango kuanzia Elfu 40[emoji134] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
 
Na michango ya ndoa[emoji23]
Mimi nimeacha kuchangia ndoa
Labda mtu anaumwa na nathibitisha kuwa kweli anadaiwa na Hospital

Lazma tujifunze kuwa na nidham ktk bajeti
Mfano, unaweza kuwa na take home ya laki 5 na unaweza kujenga Nyumba kwa hatua kwa kutumia mkopo

...laki 2 mkopo benki
...laki 1.5 matumz ya familia kama ipo
...laki 1 nauli
...elfu 50 amana ya dharura kila mwezi

Full stop
Kila mwezi

NB: Jitoe kwenye vyama vya Wafanyakazi

Achana kuchangia Mambo yasiyo na tija
 
Mimi nimeacha kuchangia ndoa
Labda mtu anaumwa na nathibitisha kuwa kweli anadaiwa na Hospital

Lazma tujifunze kuwa na nidham ktk bajeti
Mfano, unaweza kuwa na take home ya laki 5 na unaweza kujenga Nyumba kwa hatua kwa kutumia mkopo

...laki 2 mkopo benki
...laki 1.5 matumz ya familia kama ipo
...laki 1 nauli
...elfu 50 amana ya dharura kila mwezi

Full stop
Kila mwezi

NB: Jitoe kwenye vyama vya Wafanyakazi

Achana kuchangia Mambo yasiyo na tija
Hela ya Bia je? Nyama?
 
Back
Top Bottom