Msembwe
New Member
- Nov 22, 2012
- 2
- 0
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]BASI WAJE KUMCHUKUA AENDE KWAO WATUPE UHURU KAMA HAWAJAMRUDISHA NA MATATUU KESHO KUTWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]BASI WAJE KUMCHUKUA AENDE KWAO WATUPE UHURU KAMA HAWAJAMRUDISHA NA MATATUU KESHO KUTWA
kwani akionyesha salary slip ndio utaamini?Hapo kwa 'salary sleep' ndo umenikanganya kidogo jombaa. Ongeza karoyco kiasi tukuelewe basi. Ndo ule usingizi mnono unaompata mtu akishalipwa mshahara au?
Yes,he is a no non-sense president,don't you think so?they call him "the no-nonsense president"
hahaaahaaa!
Mkuu lugha inampiga chenga huyo!!Yes,he is a no non-sense president,don't you think so?
Jiongeze mkuu,hilo ni tusi kwa mwerevu lkn kama ni fa fa fa utaona still you're normal against them,."No-nonsense" ni tofauti na "non sense" mkuu, hawajatukana hapo wala kudharau...
Acha kupotosha kama hujui lugha bora tu unyamaze, toa maana ya hilo neno achana na mihemiko ya kisiasa, deal na neno lenyewe utoe maanake kabla hujaingiza siasa.Jiongeze mkuu,hilo ni tusi kwa mwerevu lkn kama ni fa fa fa utaona still you're normal against them,.
Ni sawa na kuitwa wew usiye ****** njoo hapa,lazima ujiulize kulikuwa na unuhimu gani kutumia jina hilo kama si kudhanuriana tu,
Hahahaaaa hilo nalo neno.Lkn hatujaona salary slip, ndo kilikuwa kipimo chetu cha kuamini mkuu...
Wewe ndo wa kuhurumiwa, umekaririshwa chuki, kuwa mtu akiandika hivyo amemanisha vingne,hii habari haijaandikwa na mtanzania kuwa aweke mihemiko ya kisiasa ndani yake, wangekuwa wameandika hawa wa kwetu hapo sawa...Duh mkuu Mimi sio mwanasiasa,
Naona umekariri,nakuhurumia
We jamaa sikuelew hata,Wewe ndo wa kuhurumiwa, umekaririshwa chuki, kuwa mtu akiandika hivyo amemanisha vingne,hii habari haijaandikwa na mtanzania kuwa aweke mihemiko ya kisiasa ndani yake, wangekuwa wameandika hawa wa kwetu hapo sawa...
Kuna kipindi ajenda ya Chadema ilikuwa inamtaka Rais ataje mshahara wake
Sijaongelea siasa sisi hapa tunadai mkuu atuwekee salary slip diyo siasa, wewe ndo unataka kulibadirisha hilo neno liwe la kisiasa wakati mwandishi hakumanisha hivyo, irudie hiyo habari tena hlf utwambie maana ya hilo neno bila kuweka siasa kwa tafsiri ya kiswahili otherwise peace n love mkuu...We jamaa sikuelew hata,
Wapi mimi nimekosea hasa hadi kuni-undermine kiasi hiki?
Mi naona mapenzi yako ya kisiasa endelea nayo tu,BTW wanasayansi hatujuagi hizo blah blah
Huo ni uongo mshahara wake ni zaidi ya 35 miilioni kwa mwezi au zaidi ya milioni 400 kwa mwaka. Huyu muongo anajulikana kwa uongo wake uliokithiri. Kipi kinachomshinda kuweka salary slip yake aliyoahidi hadharani? Acheni kumuamini huyu muongo wa kiwango cha Phd. Mshahara wake ni $192,000 kwa mwaka au sawa na $16,000 kwa mwezi times 2,200 sawa na 35.2 million kwa mwezi.
Below is a brief summary of 30 highest earning African Presidents:
Country Net pay per anum President
1 Cameroon US$610,000 Paul Biya
2 Morocco US$480,000 King Mohammed VI
3 South Africa US$272,000 Jacob Zuma
4 Tanzania US$192,000 Jakaya Kikwete
5 Algeria US$164,000 Abdel Aziz Bouteflika
6 Equatorial Guinea US$150,000 Theodore Nguema
7 Kenya US$132,000 Uhuru Kenyatta
8 Somalia US$120,000 Hassan Sheikh Mohamoud
9 Comoros US$115,000 Ikililou Dhoinine
10 Congo Republic US$110,000 Denis Sassou Nguesso
11 Namibia US$110,000 Hage Geingob
12 Zimbabwe US$108,000 Robert Mugabe
13 Mauritius US$104,838 Ameenah Gurib
14 Cote D’Ivoire US$100,000 Alassane Ouattara
15 Liberia US$90,000 Ellen Johnson Sirleaf
16 Rwanda US$85,000 Paul Kagame
17 Angola US$81,075 José Eduardo dos Santos
18 Ghana US$76,000 John Dramani Mahama
19 Malawi US$75,348 Peter Mutharika
20 Egypt US$72,000 Abdel Fattah el-Sisi
21 Nigeria US$70,000 Muhammadu Buhari
22 Mali US$69,609 Ibrahim Boubacar Keïta
23 Botswana US$66,713 Ian Khama
24 Gabon US$65,000 Ali Bongo Ondimba
25 Zambia US$56,000 Edgar Lungu
26 Dr.Congo US$52,97 Joseph Kabila
27 Swaziland US$52,128 Mswati III
28 Mozambique US$47,500 Filipe Nyusi
29 Ethiopia US$44,472 Mulatu Teshome
30 Lesotho US$36,000 Letsie III
Yan ww hata aje Obama kutawala hutoridhika. umekaa ukilaumu tu ,BASI WAJE KUMCHUKUA AENDE KWAO WATUPE UHURU KAMA HAWAJAMRUDISHA NA MATATUU KESHO KUTWA
imempiga chenga nani?Mkuu lugha inampiga chenga huyo!!
Sasa huo wewe umeutoa wapi mkuu ikiwa salary slip ndio yenye majibu yenye uhakika?
No-nonsense=asiyevumilia ujinga
Alichoandika ni tofauti na unachotafsiriKweli kirengesa ni kigumu sana, hawajamtukana mkuu, bali wamemaanisha Rais asiyependa masihara/Mizaha, "NO-NONSENSE PRESIDENT"