Mshahara wa Rais Magufuli wawa gumzo Kenya

Hivi wabunge wanalipwa ngapi wakuu? Inamaana wanamzidi?[emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Hapo kwa 'salary sleep' ndo umenikanganya kidogo jombaa. Ongeza karoyco kiasi tukuelewe basi. Ndo ule usingizi mnono unaompata mtu akishalipwa mshahara au?
kwani akionyesha salary slip ndio utaamini?
 
"No-nonsense" ni tofauti na "non sense" mkuu, hawajatukana hapo wala kudharau...
Jiongeze mkuu,hilo ni tusi kwa mwerevu lkn kama ni fa fa fa utaona still you're normal against them,.



Ni sawa na kuitwa wew usiye msenge njoo hapa,lazima ujiulize kulikuwa na unuhimu gani kutumia jina hilo kama si kudhanuriana tu,
 
Jiongeze mkuu,hilo ni tusi kwa mwerevu lkn kama ni fa fa fa utaona still you're normal against them,.



Ni sawa na kuitwa wew usiye ****** njoo hapa,lazima ujiulize kulikuwa na unuhimu gani kutumia jina hilo kama si kudhanuriana tu,
Acha kupotosha kama hujui lugha bora tu unyamaze, toa maana ya hilo neno achana na mihemiko ya kisiasa, deal na neno lenyewe utoe maanake kabla hujaingiza siasa.
 
Duh mkuu Mimi sio mwanasiasa,
Naona umekariri,nakuhurumia
 
Duh mkuu Mimi sio mwanasiasa,
Naona umekariri,nakuhurumia
Wewe ndo wa kuhurumiwa, umekaririshwa chuki, kuwa mtu akiandika hivyo amemanisha vingne,hii habari haijaandikwa na mtanzania kuwa aweke mihemiko ya kisiasa ndani yake, wangekuwa wameandika hawa wa kwetu hapo sawa...
 
Wewe ndo wa kuhurumiwa, umekaririshwa chuki, kuwa mtu akiandika hivyo amemanisha vingne,hii habari haijaandikwa na mtanzania kuwa aweke mihemiko ya kisiasa ndani yake, wangekuwa wameandika hawa wa kwetu hapo sawa...
We jamaa sikuelew hata,
Wapi mimi nimekosea hasa hadi kuni-undermine kiasi hiki?
Mi naona mapenzi yako ya kisiasa endelea nayo tu,BTW wanasayansi hatujuagi hizo blah blah
 
We jamaa sikuelew hata,
Wapi mimi nimekosea hasa hadi kuni-undermine kiasi hiki?
Mi naona mapenzi yako ya kisiasa endelea nayo tu,BTW wanasayansi hatujuagi hizo blah blah
Sijaongelea siasa sisi hapa tunadai mkuu atuwekee salary slip diyo siasa, wewe ndo unataka kulibadirisha hilo neno liwe la kisiasa wakati mwandishi hakumanisha hivyo, irudie hiyo habari tena hlf utwambie maana ya hilo neno bila kuweka siasa kwa tafsiri ya kiswahili otherwise peace n love mkuu...
 

Sasa huo wewe umeutoa wapi mkuu ikiwa salary slip ndio yenye majibu yenye uhakika?
 
Mkuu lugha inampiga chenga huyo!!
imempiga chenga nani?
mi nimefurahia jinsi wanavomuita the no ninsense president
angalia na huyo jamaa alivojibu
haya hebu nirekebishe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…