interesting, a man of action, miaka kumi ikipita nchi itakaa sawa kudadake, JPM piga mzigo,they call him "the no-nonsense president"
hahaaahaaa!
Ni kweli dada ulichokisema, kuna watu wameingia kichwa kichwa..ila wabongo wengi mmevamia huu uzi wa watu.lugha imewapitia pembeni.mmejiabisha sana na kuprove ni vichwa vitupu.
wenzenu wamejaa hoja..nyie mmejaa mihemko!
aibu tupu
Upelekwe wapi Elia? Lol!jamani huu Uzi upelekeni kule majukwaa mengine.
huku ni only heavy metal discussions.
maana nimeona jukwaa limevamiwa na wageni watupu ambao are not belonging to This sub forum for East Africa.
Kwahiyo ulitaka ataje ngapi?Inamaana wabunge wanamshahara mkubwa kuliko mkulu!?
Mawaziri wanamshahara mkubwa kuliko mkulu!?
Waziri Mkuu kampita mshahara aliyemteuwa!?
This is another kind of joking!!!!?
Labda alikuwa anamaanisha mshahara wa mwenyekiti wa ccm
Upelekwe wapi Elia? Lol!
Panaitwaje?upelekwe kule wanakompinga rais bila sababu kila kukicha.
Panaitwaje?
Hilo ni kweli mkuu, nakuunga mkono, wapinga kila kitu wapo, yani hadi huwa inakeraweee tembelea tu huko kwenye majukwaa mengine utaona tu. utakuta mtu anapinga kila kitu anachosema na anachofanya rais. lkn kwa akili yangu nafikiri ni wale majeruhi wa udhibiti wa mambo kama vile;
1. udhibiti wa biashara ya madawa ya kulevya
2. udhibiti wa biashara ya pembe za ndovu
3. udhibiti wa wizi wa makasha bandarini
4. udhibiti wa kukwepa kodi
5. udhibiti wa wafanyakazi news
waliokuwa wanufaika wa hayo hapo juu hawawezi kumpenda rais hata kidogo. wenyewe ni kupinga tu.
lkn ushauri wa bure ni kuwa mambo yamebadirika nao wabadirike. vinginevyo watasikilizia maumivu.
Hilo ni kweli mkuu, nakuunga mkono, wapinga kila kitu wapo, yani hadi huwa inakera
Hivi huwa analipwa kutoka hazina eti eeh au utumishiLkn hatujaona salary slip, ndo kilikuwa kipimo chetu cha kuamini mkuu...
Mkuu hapo ndo cjui kwa kusema kweliHivi huwa analipwa kutoka hazina eti eeh au utumishi
We mshenzi wanasema kashushaHuo ni uongo mshahara wake ni zaidi ya 35 miilioni kwa mwezi au zaidi ya milioni 400 kwa mwaka. Huyu muongo anajulikana kwa uongo wake uliokithiri. Kipi kinachomshinda kuweka salary slip yake aliyoahidi hadharani? Acheni kumuamini huyu muongo wa kiwango cha Phd. Mshahara wake ni $192,000 kwa mwaka au sawa na $16,000 kwa mwezi times 2,200 sawa na 35.2 million kwa mwezi.
Below is a brief summary of 30 highest earning African Presidents:
Country Net pay per anum President
1 Cameroon US$610,000 Paul Biya
2 Morocco US$480,000 King Mohammed VI
3 South Africa US$272,000 Jacob Zuma
4 Tanzania US$192,000 Jakaya Kikwete
5 Algeria US$164,000 Abdel Aziz Bouteflika
6 Equatorial Guinea US$150,000 Theodore Nguema
7 Kenya US$132,000 Uhuru Kenyatta
8 Somalia US$120,000 Hassan Sheikh Mohamoud
9 Comoros US$115,000 Ikililou Dhoinine
10 Congo Republic US$110,000 Denis Sassou Nguesso
11 Namibia US$110,000 Hage Geingob
12 Zimbabwe US$108,000 Robert Mugabe
13 Mauritius US$104,838 Ameenah Gurib
14 Cote D’Ivoire US$100,000 Alassane Ouattara
15 Liberia US$90,000 Ellen Johnson Sirleaf
16 Rwanda US$85,000 Paul Kagame
17 Angola US$81,075 José Eduardo dos Santos
18 Ghana US$76,000 John Dramani Mahama
19 Malawi US$75,348 Peter Mutharika
20 Egypt US$72,000 Abdel Fattah el-Sisi
21 Nigeria US$70,000 Muhammadu Buhari
22 Mali US$69,609 Ibrahim Boubacar Keïta
23 Botswana US$66,713 Ian Khama
24 Gabon US$65,000 Ali Bongo Ondimba
25 Zambia US$56,000 Edgar Lungu
26 Dr.Congo US$52,97 Joseph Kabila
27 Swaziland US$52,128 Mswati III
28 Mozambique US$47,500 Filipe Nyusi
29 Ethiopia US$44,472 Mulatu Teshome
30 Lesotho US$36,000 Letsie III