joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
MY TAKE: Ikumbukwe kwamba uchaguzi wa Kenya ndio uchaguzi ghali zaidi duniani na kwamba Kenya ni miongoni mwa nchi zenye deni la taifa kubwa zaidi Afrika.
Sasa nadhani tunajua wapi GDP ya Kenya inakokwenda kufanya kazi, zile nchi hisani zinazosaidia wakenya kwa kuwapa chakula cha msaada, ziendelee kufanya hivyo hadi wakenya watakapo jikomboa toka kwa hawa mabepari weusi.
Tony254
dyfre
Don YF
Nicxie
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app