Mshahara wa Samatta kwa wiki ni sawa na show 10 za msanii wenu Diamond

Mshahara wa Samatta kwa wiki ni sawa na show 10 za msanii wenu Diamond

Acha njaa kuuza uza vitu
sio music tu anauza Karanga
wewe unaweza?
1579935126252.png

 
Diamond patnumz naweza sema ndiye msanii mkubwa Tanzania lakini nashangaa kwa nini huwa hana creativity ya kuintroduce kitu kipya kwenye mziki wetu wa bongo fleva yeye ni kucopy tu hadi dance styles.
Inawezekana huko ku-copy & paste ndiko kumemfanya awe mkubwa na wewe umjue
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] misukule inamshmbulia mleta mda aiseee
 
Diamond Uchawi ndo Unaombeba Kwa sasa hamnamo Msanii mle

Vishabiki vingi vya WCB ni Vilaza..
 
Hiyo picha tu mtu kadesign unataka kuniambia ni mabus yake?
tunazungumzia creative, mm sio shabiki wa Diamond tangu anatoka Mbagala
lkn ulipomponda ndipo nikashtuka
mwenzako anavuta kadamnasi
hapo hilo basi litakapoingia ndipo utaamini ana hela
 
tunazungumzia creative, mm sio shabiki wa Diamond tangu anatoka Mbagala
lkn ulipomponda ndipo nikashtuka
mwenzako anavuta kadamnasi
hapo hilo basi litakapoingia ndipo utaamini ana hela
Liingie kutoka Wapi? Kashindwa kumnunulia baba yake hata baiskeri ndo Aje anunue bus?
 
Diamond patnumz naweza sema ndiye msanii mkubwa Tanzania lakini nashangaa kwa nini huwa hana creativity ya kuintroduce kitu kipya kwenye mziki wetu wa bongo fleva yeye ni kucopy tu hadi dance styles.

Nasubiri wimbo wake yeye tu
 
Back
Top Bottom