Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watoto wa IFM,TIA, nk hao Ni Vilaza, ndiyo hao hawajui kutofautisha Lecturer na LectureNext time andika assistant na sio assistance
IFM hakuna kozi ya Procurement kwa hiyo mtu wa IFM hawezi kuuliza hiyo wakati hujasoma na hana shida nayoWatoto wa IFM,TIA, nk hao Ni Vilaza, ndiyo hao hawajui kutofautisha Lecturer na Lecture
IFM hakuna kozi ya Procurement kwa hiyo mtu wa IFM hawezi kuuliza hiyo wakati hujasoma na hana shida nayo
Kundi moja Hilo ndio wote hao VilazaIFM hakuna kozi ya Procurement kwa hiyo mtu wa IFM hawezi kuuliza hiyo wakati hujasoma na hana shida nayo
Yani unauliza mshahara kabla hata hujaitwa kazini, change your mindset.Habari za Humu wana Jukwaaa, naitaji kujua kima cha Mshahara wa Aliyeajiriwa na diploma ya procurement serikali kada ya Assistance procurement officer/ Assistance Supllies officer naombeni Majibu
Ututake radhi mkuuWatoto wa IFM,TIA, nk hao Ni Vilaza, ndiyo hao hawajui kutofautisha Lecturer na Lecture
Yaani nyuzi za namna hii zinahuzunisha... inaonesha miaka inayokuja tutakua na watumishi wa aina gani... watu wanajali sana maslahi kuliko kazi yenyewe.Yani unauliza mshahara kabla hata hujaitwa kazini, change your mindset.
Wewe fahamu tu, ni mshahara mdogo unaolingana lingana na mshahara wa mwalimu wa shule ya msingi anayeanza kazi.Habari za Humu wana Jukwaaa, naitaji kujua kima cha Mshahara wa Aliyeajiriwa na diploma ya procurement serikali kada ya Assistance procurement officer/ Assistance Supllies officer naombeni Majibu
Unakatisha tamaa watu wewe[emoji23][emoji23][emoji23]Serikali inakupa hiyo ajira, unapelekwa wilaya ya Kakonko huko Kigoma na unapelekwa kukaa huko ndani ndani kidogo kutoka wilayani, halafu wewe umezaliwa na kuishi Dar, Arusha au Mwanza maeneo ya karibu na City centre.
-Mshahara ni 470,000 (Take home 350,000)
-Umeme wa uhakika, maji safi, makazi bora, mtandao wa internet ni kitendawili.
-Hakuna mishe mishe zingine, zaidi ya kungojea pilikapilika za mbio za mbio, ziara za viongozi wakubwa.
Lazima upauke.
Mkuu,kwani wewe unafanya kazi ili upate tuzo au maslahi yako?Yaani nyuzi za namna hii zinahuzunisha... inaonesha miaka inayokuja tutakua na watumishi wa aina gani... watu wanajali sana maslahi kuliko kazi yenyewe.
Serikali inakupa hiyo ajira, unapelekwa wilaya ya Kakonko huko Kigoma na unapelekwa kukaa huko ndani ndani kidogo kutoka wilayani, halafu wewe umezaliwa na kuishi Dar, Arusha au Mwanza maeneo ya karibu na City centre.
-Mshahara ni 470,000 (Take home 350,000)
-Umeme wa uhakika, maji safi, makazi bora, mtandao wa internet ni kitendawili.
-Hakuna mishe mishe zingine, zaidi ya kungojea pilikapilika za mbio za mbio, ziara za viongozi wakubwa.
Lazima upauke.
walimu mtaipata karne hiiWewe fahamu tu, ni mshahara mdogo unaolingana lingana na mshahara wa mwalimu wa shule ya msingi anayeanza kazi.