Mshahara wa serikalini wa Assistant Procurement Officer kwa level ya Diploma ni Tsh. ngapi?

Mshahara wa serikalini wa Assistant Procurement Officer kwa level ya Diploma ni Tsh. ngapi?

Sikutaka hata kubishana nae maana nmeona n mjinga tu kwa sababu hajui alisemalo
Kuna watu hua wanakibeza chuo cha ifm mm sijasoma apo ila IFM ni chuo kigumu japo wanachuo wao ni walaini ila sio poa
 
Habari za Humu wana Jukwaaa, naitaji kujua kima cha Mshahara wa Aliyeajiriwa na diploma ya procurement serikali kada ya Assistance procurement officer/ Assistance Supllies officer naombeni Majibu
Nitafute pm
 
Kwani ukiringa na harrier Ndiyo kinga ya Kuwa kilaza?
We utakua na matatizo ya akili aseeee kwaio serikali imeweka vyuo na ma lecturer ili wafundishe na kuandaa vilaza ambao wanaajiliwa TRA na sehemu nyingine tofauti dah we sema labda pengine ulibahatika kupata ka degree ambako unako hapo kwenu basi kichwa kinavimba alafu unakuja kazini boss wako ni wa IFM ambae alianza na Diploma
 
Back
Top Bottom