GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
"Mimi ni Mtu wa Imani (Dini) sana na sipendi tabia ya Vilabu vingi vya Afrika kupenda Kuroga na Kuamini Uchawi na nikiwa katika Timu yenye huu Utamaduni nitawakatalia na ikiwezekana hata kuomba Kuondoka" amesema Mshambuliaji mpya wa Yanga SC Hafidh Kounkon kupitia Kipindi cha Spoti Leo cha Radio One muda si mrsfu.
Tafadhali aliye karibu na huyu Mchezaji amwambie kuwa GENTAMYCINE wa JamiiForums namwambia hapo alipo sasa Kuroga na kupenda Ushirikina ni Moja ya Tunu yao Kuu na iliyotukuka hivyo ajiandae kuwa anachanjwa Ugokoni, Ulimini na Kisiginoni kila akiwa anacheza huku Jezi yake ikishoneshewa Hirizi ya Kipekee.
Yaani kabisaaaaa Timu ina Marafiki zangu Wakubwa na Wanaojua Kona zote za Waganga wa Kienyeji Tanzania nzima hadi Kisiwani Zanzibar akina Mohammed Bhinda na Said Motisha halafu isiwe Inaroga hata Mechi za Kirafiki.
Tafadhali aliye karibu na huyu Mchezaji amwambie kuwa GENTAMYCINE wa JamiiForums namwambia hapo alipo sasa Kuroga na kupenda Ushirikina ni Moja ya Tunu yao Kuu na iliyotukuka hivyo ajiandae kuwa anachanjwa Ugokoni, Ulimini na Kisiginoni kila akiwa anacheza huku Jezi yake ikishoneshewa Hirizi ya Kipekee.
Yaani kabisaaaaa Timu ina Marafiki zangu Wakubwa na Wanaojua Kona zote za Waganga wa Kienyeji Tanzania nzima hadi Kisiwani Zanzibar akina Mohammed Bhinda na Said Motisha halafu isiwe Inaroga hata Mechi za Kirafiki.