Mshambuliaji mpya Yanga SC Hafidh Kounkon: Nachukia Klabu ambazo zinapenda Kuroga na Uchawi

Ataondoka haraka sana kwa hili
 
Ustadh said yalimshinda kuchwanjwa hadi mkund*ni akaona hii dalili ya kuliwa 0712 na eng kama kina kabwili hii..
 
Mwambieni hapo makao makuu yao ndio wachawi wote wanapofanyia mikitano usiku ndio maana hapakauki maji.
 
Ndiio maana hakukubali kwenda Dunduka Fc.atakuwa alifahamu tukio la kuwasha moto uwanjani kule south Africa na kufungiwa na kutozwa faini Gadiel Michael kwa ulozi akiwa uchi mchana msimu uliopita akiwa Ngada fc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…