Cherenganya
JF-Expert Member
- Jan 21, 2018
- 2,309
- 1,785
Asante mkuu..nimefanya ivo Kama APPRECIATION kwako..[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji116][emoji116][emoji116]Wonderful nimekiona asante sana nitakipitia mdogomdogo
hatari hiiLeo oct 27 usiku mnampango gani wachawi. Maana naona wachawi wa USA wanacelebrate embu utujuze kuna nini? Na hii "2731" namba maana yake nini?
View attachment 1246733View attachment 1246735View attachment 1246736
Rakim
Ukimuita mshana haji anajionaga keki ya harusi
anaangalia thread kaanzisha nani,haka ka jamaa
nakaonaga kama ka bi chau
Sioni tatizo na hiyo lugha. Ndugu zetu wa Kenya wao husema " kuja hapa" wakimaanisha " njoo hapa". Huko DRC wanasema "kuya hapa" kwa maana hiyo hiyo.Kuja hapa=Njoo hapa
Hilo ni tatizo kubwa sana........ Unakinajis kiswahili..Sioni tatizo na hiyo lugha. Ndugu zetu wa Kenya wao husema " kuja hapa" wakimaanisha " njoo hapa". Huko DRC wanasema "kuya hapa" kwa maana hiyo hiyo.