Mshana Jr, agent wa Shetani JF?

Aaamen Ndetimakete
 
sijakataa...ila huoni huu ni ulozi...wa wazi wazi halafu mnasema ni mambo ya kizungu????...hapo bro ulitaka nitumie akili gani....?
Sema baba Sema,
Toa dukuduku baba
Hii inasaidia kupunguza stress
Ukweli humuweka mtu huru
naona unamwaga mchele kwenye kuku wengi.
Dah! Umeamua kumwaga Ugali kabisaa
KWELI maishapopote (haya ogopi mtu).
 
Sema baba Sema,
Toa dukuduku baba
Hii inasaidia kupunguza stress
Ukweli humuweka mtu huru
naona unamwaga mchele kwenye kuku wengi.
Dah! Umeamua kumwaga Ugali kabisaa
KWELI maishapopote (haya ogopi mtu).
Hahhahahaaa
 
Hivi huogopi kuandika huu uzi,utatunguliwa huko hahaaaaaaa, usidhanie hatujaona uliyooona, ila tunalinda maisha yetu dhidi ya mapepo ya kujitakia lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…