Mshana Jr, agent wa Shetani JF?

Mshana Jr, agent wa Shetani JF?

mshana jr Endelea kushusha mawe juu ya mawe mpaka siku uje ukae juu ya mawe.wengine waje wazaliwe juu ya mawe waendelee kuyatumia hayo mawe.....dunia ina mambo mengi na shulen hayafundishwi...Mimi nashukuru mada za humu jf kuhusu mambo ya kiroho yamenisaidia kusolve baadhi ya matatizo baada ya kutambua tiba nzuri ni ipi kati ya ibada kwa Mungu na tiba kwa upande wa pili......God bless u Mshana Jr....
Aaamen Ndetimakete
 
sijakataa...ila huoni huu ni ulozi...wa wazi wazi halafu mnasema ni mambo ya kizungu????...hapo bro ulitaka nitumie akili gani....?
Sema baba Sema,
Toa dukuduku baba
Hii inasaidia kupunguza stress
Ukweli humuweka mtu huru
naona unamwaga mchele kwenye kuku wengi.
Dah! Umeamua kumwaga Ugali kabisaa
KWELI maishapopote (haya ogopi mtu).
 
Sema baba Sema,
Toa dukuduku baba
Hii inasaidia kupunguza stress
Ukweli humuweka mtu huru
naona unamwaga mchele kwenye kuku wengi.
Dah! Umeamua kumwaga Ugali kabisaa
KWELI maishapopote (haya ogopi mtu).
Hahhahahaaa
 
Hivi huogopi kuandika huu uzi,utatunguliwa huko hahaaaaaaa, usidhanie hatujaona uliyooona, ila tunalinda maisha yetu dhidi ya mapepo ya kujitakia lol
 
Back
Top Bottom