Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akitumia elimu yake aliyoipata nchini Afrika kusini ya Budhisim...na mchanganyo wa vitabu mbalimbali vya kishetani...ujuzi wake katika meditation na ulozi...
Sasa amekua kinara katika mada zote za kishetani hapa jukwaani JF... Na kwa kuwa Jf kila mtu anavutiwa na mada hizi za kutisha na kustaajabisha...basi amepata wafuasi wengi akiwafundisha na kuwaelewesha na polepole kuwaelekeza namna ya kufanya...si tu katika meditation bali pia katika vitu hatari kama viapo vya damu,uzuri wa shetani,eti lucifer sio shetani...na mengine mengi ambayo amekua akiyatoa....
1) Kuweni makini na anayoyasema
2) Na muwaze na kuamua ni kwa faida ya nani mnajifunza haya
3) Mkajiulize je Mungu wenu anafurahia hayo?
4) Na kwann watu wengi mnaotaka sana kujua haya ni wakristu?
5) Muogopeni mno...anataka kuwapotosha imani yenu
Hayo ni maoni yangu..
We mleta mada, ivi kwann usifanye yako ??
Huwez kua Mkristo kamili kama humjui Shetani na jinsi anavyo operate. Kumjua si kumfuata.
Acha Balaa.
#mimi pianimesoma thread nzima na kila comment na page zake zote. kwakweli nimeishia kuchanganyikiwa. kichwa kinagonga na ninahitaji hedex
[URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=mimi]#mimi [/URL] ni yule mwenye kuchukuliwa na kila upepo wa elimu# nipo njia panda
hivi kweli mtu mzima unaanzisha uzi ili kuongea kuhusu mtuwingine? huu ni umbea!
Kiukweli meditation ni ushetani....ni sawa kabisa na kuuhack mwili
Shetani hayupo. Sema jingine.
maishapopote kwanza nikupongeze sana kwa kutoa dukuduku lako ikiwa ni mtazamo wako kwangu kuhusiana na mada zangu
Najua ni una mengi zaidi ya kuandika kunihusu mimi na mada zangu na mambo yote yanayohusiana nazo...nitapenda kuwa bega kwa bega nawe Katika kueleweshana na kujuzana kwa uwazi na kwa mifano stahili huku tukitumia nukuu na lugha za kistaarabu
Naomba ushirika wako wa Karibu Katika hili kwa manufaa ya jukwaa
100% naungana na wewe kuwa hakuna kitu called shetani....katika kanuni ya jozi shetani ni kinyume cha mungu...ni sawa na kusema nuru kinyume chake ni giza.....uhai kinyume chake ni mauti/kifo....hakuna shetani bali nuru/mungu ikitoweka giza huwepo....watu wanadhani shetani ni kiumbe sio kweli....
Ukisema shetani hayuko unatoa tafsiri wewe ni mwabudu shetani mwenyewe, kwa kuwa ni mungu wako na si kiumbe mlaaniwa kwako.
sasa Avae...si ufumgue tu sehemu ya kutatua hizi shida za dada zetu...maana wanaume wanawaendesha puta balaa....
100% naungana na wewe kuwa hakuna kitu called shetani....katika kanuni ya jozi shetani ni kinyume cha mungu...ni sawa na kusema nuru kinyume chake ni giza.....uhai kinyume chake ni mauti/kifo....hakuna shetani bali nuru/mungu ikitoweka giza huwepo....watu wanadhani shetani ni kiumbe sio kweli....
Kama ulichokisema unamanisha nakuhurumia.Kwa hiyo huendi kanisani kumwabudu Mungu unaenda kurefresh you mind.Kazi ipo.Wengine tunaenda kusali ili kurefresh mind kwa vinanda na vinubi vya kanisani