Mshana Jr, agent wa Shetani JF?

Haya ndo Matatizo ya kukaririshwa vitu toka mdogo badala ya kujifunza na kuelewa
 

mmegongana anga zipi? wewe na mwenzio?
 
nimesoma thread nzima na kila comment na page zake zote. kwakweli nimeishia kuchanganyikiwa. kichwa kinagonga na ninahitaji hedex

#mimi ni yule mwenye kuchukuliwa na kila upepo wa elimu# nipo njia panda
 
Kiukweli meditation ni ushetani....ni sawa kabisa na kuuhack mwili

Nadhani bado huna uhakika na kitu unacho kiongea.....tuthibitishie kama meditation ni ushetani...bila shaka umepaniki unaongea vitu ambavyo hujafanyia uchumguzi wala hujavijua ninini.....
 
Shetani hayupo. Sema jingine.

100% naungana na wewe kuwa hakuna kitu called shetani....katika kanuni ya jozi shetani ni kinyume cha mungu...ni sawa na kusema nuru kinyume chake ni giza.....uhai kinyume chake ni mauti/kifo....hakuna shetani bali nuru/mungu ikitoweka giza huwepo....watu wanadhani shetani ni kiumbe sio kweli....
 

kaka, wanasema wewe ni agent wa ibilisi? ni lucifer au ni shetani yupi unamuagentia?
 
Last edited by a moderator:

Ukisema shetani hayuko unatoa tafsiri wewe ni mwabudu shetani mwenyewe, kwa kuwa ni mungu wako na si kiumbe mlaaniwa kwako.
 
Wengine tunaenda kusali ili kurefresh mind kwa vinanda na vinubi vya kanisani
 
Nina wasi wasi hata mtoa mada nae hajui alichiandika.....
 

Soma masomo ya kiroho utapata ufahamu mkubwa kuhusu habari za Mungu miungu shetani ibilisi mapepo majini vibwengo vinyamkera malaika etc
 
Nadhan kama kuna kitu ambacho kinamfanya mtu kuwa mpumbavu na lofa wa kisasa....ni kule kukataa kujifunza kitu kipya...au kutokuwa tayari kuhoji misingi ya imani yako in light of available evidence...!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…