Mshana Jr, agent wa Shetani JF?


Agent wa shetani ni wewe,"wewe no shetani"
 
Shetani ni nani ?
Kwa mujibu wa Biblia alikuwa ni malaika kule mbinguni lakini alimwasi Mungu aliyemuumba na kutolewa huko na kusubiri hukumu ya moto wa milele pamoja na wafuasi wake.
 

Usemayo ni KWELI tuko nyakati za mwisho Manabii wa uongo na mpinga kristo wako kazini yatupasa kudumu ktk maombi,kusoma biblia kwa bidii.
 
Na ni mfuasi mzuri wa UKAWA
 

mshana jr anajitambua bhana, Kuwa Buddhist hakumaanishi Kuwa huwezi acha. Alisha achana na sadaka kwa miungu. mshana jr amefichua siri nyingi za gizani ambazo tusingeweza kuzifahamu
 
Last edited by a moderator:
mshana jr anajitambua bhana, Kuwa Buddhist hakumaanishi Kuwa huwezi acha. Alisha achana na sadaka kwa miungu. mshana jr amefichua siri nyingi za gizani ambazo tusingeweza kuzifahamu

Samaki ndio kiumbe wa mwisho kugundua kuwa anaishi kwenye maji...mshana aliacha cult practises kwa sababu ya ugumu wa kupractice...maana yeye ni mtu wa totoz na kula bata hatari...sasa jinsi anavyoendelea kusifia hizo evil and devil acts..ndio unajua huyu mtu kaacha kuwa shetani...ila akaamua kuwa wakala wake.....na ukiangalia makala zake nyingi...si tu anasifia bali anawashawishi na wengine wengi waingie humo!
 
Last edited by a moderator:

I love JF the way it is...
 

Ha ha ha you made my morning!!!!.....whats up mshana...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…