Mshana Jr, agent wa Shetani JF?


hacha umbea!!!!!!! hkuna mashiko hapo
 

Wewe una tatizo gani nae kwani? Kwani kama mtu akiamua kumsikiliza wewe inakutatiza nini? This looks personal kabisa
 
Tujaribu kuwa open minded

Mshana anaongea aliyokutana nayo sijajua huo uagent kaupatia wapi Na Lini alikaa Na huyo shetani

Dunia haipo rahisi Kama tunavyoichukulia
Tuwe philosophical zaidi kuliko emotional at least tutaendelea

Well said
 
Tujaribu kuwa open minded

Mshana anaongea aliyokutana nayo sijajua huo uagent kaupatia wapi Na Lini alikaa Na huyo shetani

Dunia haipo rahisi Kama tunavyoichukulia
Tuwe philosophical zaidi kuliko emotional at least tutaendelea

Yang...kwa uelewa wangu jina lako ni moja ya neno pacha Ying Yang...ambalo siwezi kulielezea maana yake hapa...ukisoma kwa umakini makala za mshana jr na mambo anayopenda kufundisha watu wa aina yako....unagundua kabisa anafundisha sorcerer na evil cult ...ulozi..uchawi..kuwanga na kutembelea kuzimu....kama kuwa open minded is about all that lessons...then ile tafiti...ilitolewa juzi kuhusu...Tanzania kuongoza kwa uchawi na ushirikina Duniani...itakua ya kweli ni sio coocked Research kama ya twaweza...Yang...we ni mmoja wapo...! Na wanaokusifia
 
mshana jr ahsante kwa hii dawa ya kumuweka mme kiganjani hivi ulisema mtoni inatupwa usiku au mchana?

Hujajijua tu...umebaki kupewa ungo na usinga tu....mkutane angani na chini ya mibuyu ya Ruaha
 
Last edited by a moderator:
maishapopote kujifunza na kufahamu ni kitu kimoja na kukubali au kutokubali ni kitu kingine

Unachanganya.......hapo ameshajifunza....amekubali....sasa anaenda kutenda...maana ni muda tu anakuuliza ...alishachanganya mchanganyiko wote
 
Last edited by a moderator:
Unachanganya.......hapo ameshajifunza....amekubali....sasa anaenda kutenda...maana ni muda tu anakuuliza ...alishachanganya mchanganyiko wote

Chakula hakipikwi ili kitupwe itakuwa ni ujuha.. Kila kitu katika maisha kinafanywa au kufanyika kwa lengo au kwasababu maalum
 
Kama uko serious andaa ungo mnazi wa njiapanda, ndulele tisa, usinga kaniki mbili na damu ya kuku tetea na pembe ya Ng'ombe

Inaonekana ndulele ni kiungo hatari sana kwenye mambo yenu mshana...maana kila mahali ni soo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…