Mshana Jr, agent wa Shetani JF?

Mshana Jr, agent wa Shetani JF?

Napita tu ImageUploadedByJamiiForums1443520429.401112.jpg
 
Uuuughhh... Thank you so much Mshana Jr... Keep them coming

Kama hamna mto je?

Hahhahaaaaa pole shosti... Huteseki kama mi ninavyoteseka

mshana jr ahsante kwa hii dawa ya kumuweka mme kiganjani hivi ulisema mtoni inatupwa usiku au mchana?

Evelyn Salt Heri yako umejibiwa...yaani mi swali langu kanigomea kunijibu, hajui navyoteseka kwa ajili ya baby wangu!

Kama kupenda kunatakiwa kuambatana na nguvu nyingine isiyotokana na utashi wa mwenye kupenda, huo hauwezi kuwa upendo hata jidogo. Si ujiulize kuwa wewe iko force gani nyuma ya upendo wako kwa huyo unayedai unampenda!

Ukishamroga kaka wa watu halafu unaanza kutamba kuwa unapendwa! Nyoo! Hakuna upendo hapo ila wewe kuna kinachokusukuma kumlazimisha akupende na siyo kweli kwamba wewe unampenda. Kumchuna zaidi. Mbona hamtafuti limbwata ili mpendwe na watu hohehahe, malofa nk. Utakuta mtu anatafuta hetu kupendwa na kumbe… acheni hizo!
 
Last edited by a moderator:
Kama kupenda kunatakiwa kuambatana na nguvu nyingine isiyotokana na utashi wa mwenye kupenda, huo hauwezi kuwa upendo hata jidogo. Si ujiulize kuwa wewe iko force gani nyuma ya upendo wako kwa huyo unayedai unampenda!

Ukishamroga kaka wa watu halafu unaanza kutamba kuwa unapendwa! Nyoo! Hakuna upendo hapo ila wewe kuna kinachokusukuma kumlazimisha akupende na siyo kweli kwamba wewe unampenda. Kumchuna zaidi. Mbona hamtafuti limbwata ili mpendwe na watu hohehahe, malofa nk. Utakuta mtu anatafuta hetu kupendwa na kumbe… acheni hizo!

Don't take things so serious... Kura yako nakuomba umpe lowasa
 
Back
Top Bottom