Bulaya001
JF-Expert Member
- Dec 21, 2018
- 5,987
- 6,682
yaani nimebaki mdomo wazi[emoji848][emoji848][emoji848][emoji41][emoji41][emoji41][emoji23][emoji23][emoji23]
Jr[emoji769]
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yaani nimebaki mdomo wazi[emoji848][emoji848][emoji848][emoji41][emoji41][emoji41][emoji23][emoji23][emoji23]
Jr[emoji769]
[emoji23][emoji23][emoji23]yaani nimebaki mdomo wazi[emoji848][emoji848][emoji848][emoji41][emoji41][emoji41]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]
Jr[emoji769]
Akitumia elimu yake aliyoipata nchini Afrika kusini ya Budhisim...na mchanganyo wa vitabu mbalimbali vya kishetani...ujuzi wake katika meditation na ulozi...
Sasa amekua kinara katika mada zote za kishetani hapa jukwaani JF... Na kwa kuwa Jf kila mtu anavutiwa na mada hizi za kutisha na kustaajabisha...basi amepata wafuasi wengi akiwafundisha na kuwaelewesha na polepole kuwaelekeza namna ya kufanya...si tu katika meditation bali pia katika vitu hatari kama viapo vya damu,uzuri wa shetani,eti lucifer sio shetani...na mengine mengi ambayo amekua akiyatoa....
1) Kuweni makini na anayoyasema
2) Na muwaze na kuamua ni kwa faida ya nani mnajifunza haya
3) Mkajiulize je Mungu wenu anafurahia hayo?
4) Na kwann watu wengi mnaotaka sana kujua haya ni wakristu?
5) Muogopeni mno...anataka kuwapotosha imani yenu
Hayo ni maoni yangu..
Mshana namuelewaga sana
Umetumia njia gani kujua wanaotaka kuyajua hayo ya mshana jr ni wakristu?
Another NUMB WRITER AND A SHALLOW THINKERAkitumia elimu yake aliyoipata nchini Afrika kusini ya Budhisim...na mchanganyo wa vitabu mbalimbali vya kishetani...ujuzi wake katika meditation na ulozi...
Sasa amekua kinara katika mada zote za kishetani hapa jukwaani JF... Na kwa kuwa Jf kila mtu anavutiwa na mada hizi za kutisha na kustaajabisha...basi amepata wafuasi wengi akiwafundisha na kuwaelewesha na polepole kuwaelekeza namna ya kufanya...si tu katika meditation bali pia katika vitu hatari kama viapo vya damu,uzuri wa shetani,eti lucifer sio shetani...na mengine mengi ambayo amekua akiyatoa....
1) Kuweni makini na anayoyasema
2) Na muwaze na kuamua ni kwa faida ya nani mnajifunza haya
3) Mkajiulize je Mungu wenu anafurahia hayo?
4) Na kwann watu wengi mnaotaka sana kujua haya ni wakristu?
5) Muogopeni mno...anataka kuwapotosha imani yenu
Hayo ni maoni yangu..
Limdomo hiloKusema kweli sio umbeya....