ππΎππΎππΎAsante sana dadaMaisha ni kitabu cha hadithi,kitasimuliwa kama kitakavyoandikwa na muhusika,,naona simulizi yako inaanza kupendeza ingali mauti haijashinda...maana wengi simulizi huwa za kuvutia baada ya mauti kushinda...hongera kaka
Shukrani sana Mkuu πKi jf jf huwa nakuelewa sana. Una roho ya unyamwezini sana. Uliwahi toa kitabu jukwaa la vitabu nimekisoma nusu naona si haba
juu yako hiyoUnachokitafuta utakipata leo ni Jumatatu
Yes, we have not seen each other for a long time. I will look for you once I'm in Dar. Otherwise I'm well, though struggling hard! Tuendelee kuwasiliana.Asante kaka mkubwa.. Long time no see you.. Hope you are doing well
Fanya hivyo haraka usije ukakuta foleni.Wee,sema kweli?
Ngoja nami nimfuate ghetto...hii depression itaniua wakuuπ€
π€£π€£πFanya hivyo haraka usije ukakuta foleni.
ππΎππΎππΎYes, we have not seen each other for a long time. I will look for you once I'm in Dar. Otherwise I'm well, though struggling hard! Tuendelee kuwasiliana.
Hahahaha π€£Angalizo, msiingie wazimawazima kwa huyu mtu, kwanza ni Buddhist, na kwa maneno yake Buddhist Wana mahusiano mazuri na Satanist, na amewahi kwenda kwenye ibada za makafara ya watu kwenye hekalu la Satanist,
Huyu pia ni mganga na mlozi ( post zake zipo humu). Neno lenyewe mshana ni dawa za kienyeji za wahaya, wanaweka kwenye chai, Namheshimu Kama binadamu, Ila upande wa giza ni hatari. Jipelekeni
Mshana Jr nakuomba nikufate pmDahππΎππΎπͺπΏ
Una muhusudu sana Richard mabalaMshana Jr nakuomba nikufate pm
Hapana ni jina tuUna muhusudu sana Richard mabala
Kitabu hicho kuna Mr. Haambiliki,Hapana ni jina tu