Mshana jr Anaongoza Asilimia ya Kupata Likes

Mshana jr Anaongoza Asilimia ya Kupata Likes

Nimeingia juzi ila nina like 91 wakuu mabibi na mabwana naombeni like zenu ... Umoja ni ushindi.
 
Kuna wengine humu LIKE zetu zilipotelea hewani baada ya Marekebisho mapya ya JamiiForums huwa sielewagi zilikwenda wapi?....Ila naamini jamiiforums kuna kale katabia ka kwenye magroup ya whatsapp au Facebook wanaangalia kapost nani?...Ila hizi LIKE hazitupi Shibe kikubwa hapa ni UZIMA TU.
nami nakubali sana mchango wako mkuu lutila, ila ilo jina lako la kwanza ni
jipu
 
Mshana jr ana likes nyingi sababu ya thread zake za mambo ya nguvu za giza, si unajua watanzania 95% wanaamini na washiriki wa nguvu za kishirikina. Kuna nchi gani ingine duniani inahusika na kuua walemavu wa ngozi"albino" kama sio only in Tanzania. hongera mshana jr.
 
Asanteni kwa likes zenu.
Ambao hamjanipa tutakutana Insta au Fb.
Ntawachunia kama siwajui
 
Mshanajr nilipenda post yake kuhusu magari kwenye technical issues, watu wengi walimfaidi kwani alikuwa anatoa ushauri mzuri kwa wamiliki wa vyombo vya moto
 
Back
Top Bottom