Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 42,023
- 12,811
Hahahaah kuwa Na subira zitakuwa nyingi tuNimeingia juzi ila nina like 91 wakuu mabibi na mabwana naombeni like zenu ... Umoja ni ushindi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaah kuwa Na subira zitakuwa nyingi tuNimeingia juzi ila nina like 91 wakuu mabibi na mabwana naombeni like zenu ... Umoja ni ushindi.
Ina maana hata wenzake hawampi likes??Lizaboni hayupo mbona??
Anataka kuolewa sasa anatulia ili minato irudiNa hivi siku hizi umekua SISTER MARIA.....
Shemeji shemeji ohooo mi simoooAnataka kuolewa sasa anatulia ili minato irudi
Yap binamu, alinipa ya kumuweka mme kiganjani, yani ile dawa kiboko nikimwambia mwanaume asivute pumzi havuti hadi nimruhusuNawe Binamu umeenda Kwa mshana jr kuchukua ndumba...!!???
Na ukitaka komenti chache tu achana na na likes tu andika ishu za kiteknolojia mfano tujifunze kutengeneza software unaweza ukakuta wiki nzima kuna likes 2 na replies 13.Ukitaka likes Tanzania na duniani kokote ongelea mapenzi.
Ila kwa Africa ukitaka likes sana ongelea mambo ya kichawi na hiyo ndio fani ya mshanajr, jamaa anapenda sana uchawi, wabongo wengi nao ni full uchawi yaani hadi aibu. Japo anachoongea mara nyingi ni uongo sema binadamu siku zote wanapenda kuambiwa kua wanachokiamini ni kweli simply because its fascinating na hawawezi kukielezea, hapo ndipo mshanajr anawakamata vizuri
Nimegundua huyo Nyani ngabu anaongoza kwa kutoa povu kuliko wengine wote kweny hyo list
Una shilingi ngapi nikuuzie zangu.. ?!Naombeni likes jamani
Uwe mvumilivu basi nawe zamu yako itafikaMtoa mada ur not fair mm kuanzia mtu wa 17 nimempita kwa likes tutendee haki money bag mchango wng utambuliwe
Naombeni likes jamani