Kim Il Kwon
JF-Expert Member
- Nov 13, 2015
- 1,219
- 1,035
chukua LIKES zangu madame!Naombeni likes jamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
chukua LIKES zangu madame!Naombeni likes jamani
sasa kwa komenti kama hii nitakosaje kukupa like? 😀😀Mshana anatumia ndumba ukimuona tu lazma ulike lol
Mleta thread sijui umewaza nini eeh haya
Hiyo hapana kabisa Binamu....!!!Yap binamu, alinipa ya kumuweka mme kiganjani, yani ile dawa kiboko nikimwambia mwanaume asivute pumzi havuti hadi nimruhusu
...hii hesabu ya wapi yakhe!Nina likes 165 kwa post 600
Means kila. .post na likes 4
Pamoja na pumba zangu ila natakiwa niwe wa pili nina 10.2%....... 1260/12344*100
Umesema vyema mkuu....bila hivyo ingekua dharau kwa wakongwe wa humu ndani imagine likes zangu ni nusu ya post zangu sasa si ingekua kuwavunjia heshima huku kina mshana jr Nyani Ngabu na wengineNafikiri pia wamebase kwenye idadi ya posts, maana naona kati ya hao mwenye chache ana 29,000.
Inakuwa kama ranking za matokeo ya shule kitaifa, kuna yenye watahiniwa zaidi ya 30 na chini ya 30.
Make mimi pia nina kama 15.8%, yaani 1100/6,920*100.
Subiri usifiwe usijisifuMimi JF nzima najikubali mwenyewe......Nna post za kuelimisha jamii na zenye busara ya hali ya juu..... Yani nna busara mpaka muda mwingine nikijiangalia kwenye kioo najionea aibu..... Sema unajua nini, maisha magumu sana.... Nna madeni balaa...... Naombeni msaada jamani Dah!
Anaongelea sana nguvu za giza ambazo watu wengi hawazielewiMshana kama ni hela kashawini in terms of billions. Lakni huwa anaongea point sana.
Wengine wauza chai.
Hapo kumbuka kuwa likes zilifutwa. Ishu ikaanza upya kabisa ila post(messages) ziliachwa kama zilivyo. Ndo unakuta mtu ana posts 5000 ana likes 200Karibu sana JF...
Vigezo vilivyotumika ni vipi kwenye hizo takwimu zako?
Unaweza kukuta mwana JF ana posts 30,000+ na Likes 2,000+. While kuna mwana JF mwingine anaweza kuwa na posts 1,000+ na Likes 500+.....ukizichanganua hizo takwimu unaweza kupata namba halisi ya hoja yako husika mkuu. Unless otherwise unaongelea total posts digits.
Niko Chinese hapa Morocco nikitoka takuchekiPoa, utanikuta, saa 9 nadhani ndo muda mzuri
Kitu tyrHapo kumbuka kuwa likes zilifutwa. Ishu ikaanza upya kabisa ila post(messages) ziliachwa kama zilivyo. Ndo unakuta mtu ana posts 5000 ana likes 200
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15][/>Notable Members | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Jimena
Th Name
rubii
renny
MKWEPA KODI
Uncle Ben
Team makapuku
Woyoooooooo
Bora nawe usemeMnatia aibu bwana ku-quote post nzima kwa tumaneno twa ndikaule sidanu...
Hivi hiyo trophy ni ya nini?kwangu haiko hivyo
nilipata trophy kwa likes kama 20
halafu kuna post napata like zaidi ya 70 sioni trophy ndo nashangaa..
i believe kuna errors....
Tupiamo basi hata ka picha tuone itakavyokuaNjoo nina dawa bora kabisa...naniliu inarudi kama ya mtoto kabisa [emoji23] [emoji104] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]