Unalinda ndoa gani???Wewe mbona unayo sema wasukuma huwezi kuwaacha.
Sasa hivi kabaki kuzunguka tu hadi namuonea huruma mume wake kamkataa alitaka kudandia kwa RRONDO nae akamkataa hadi huruma[emoji25]
My wii usiku mwema ngoja kwanza nilinde ndoa......
Inamaana yule mtu alinidanganya??Nilitupiwa!!! Jiangalie dogo.
Situpiwagi virago mimi, ndio maana manyau nyau sijawahi kumhusisha.
Hivi naanzaje kukosa ndoa mjini hapa labda niamue tu.Najilia vyangu na mume wangu tukitafakari mapacha wetu.....[emoji8] Halafu nani yupo na nshomile?Unalinda ndoa gani???
Sema ulale ukitafakari mwingine wa kumbambikiza mimba baada ya manyau nyau kugonga mwamba kwa nshomile.
Mie yangu iko intact haijawahi kuyumba, tulikuchuuza tu maana una majanga mwanamke, ila ndege wafananao huruka pamoja, yaani kama wewe ulivyo na waumezo ni hivyo hivyo, wakiguswa kidogo tu tayari.
Uongo si ndio msingi wenu? Sasa unashangaa nini?Inamaana yule mtu alinidanganya??
Hahahaaaa!! Waume zako unafanana nao.Hivi naanzaje kukosa ndoa mjini hapa labda niamue tu.Najilia vyangu na mume wangu tukitafakari mapacha wetu.....[emoji8] Halafu nani yupo na nshomile?
Waume zangu wakoje?
Hiyo ni remix ya jina lako [emoji1][emoji15] [emoji3] [emoji102] [emoji23] mshanakr?
Check walivonyanyua viuno juu wamekunja nne wenyewe na kulegeza midomo hatariAre you serious??.....Hawa hawa wanaume wa Dar wanakutosha?[emoji116][emoji86]
Kwa hiyo yeye ni muongo?Uongo si ndio msingi wenu? Sasa unashangaa nini?
Wanasemaga ndege wafananao huruka pamojaHahahaaaa!! Waume zako unafanana nao.
Hivi kumbe na hizo zinaitwa ndoa eeeh!! Basi sawa.
Toka lini my wii ukalala mapema vile?Ha haaa poa my Wii kesho unambie vizuri... Namie ndo naanza kurembue apa nataka nilale.
Uwe na njozi njema wifi langu,
Kwani niliweza kulala sazile tena basi my Wii? Nilipata mtibuo wa gafla usingizi ukakata,sanane uko ndo nkasinziaToka lini my wii ukalala mapema vile?
Aiseee mtibio wa usiku sio mzuri kabisa aiseee unaweza kufanya ukesheKwani niliweza kulala sazile tena basi my Wii? Nilipata mtibuo wa gafla usingizi ukakata,sanane uko ndo nkasinzia
Mkuu...kuna fursa nakutabiria...kama hutojali anzisha kanisa la mrengo free.....Mmh nifafanulie tafadhali
[emoji87] [emoji144] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Hiyo ni remix ya jina lako [emoji1]
Hahaha [emoji102] [emoji115] [emoji144]Mkuu...kuna fursa nakutabiria...kama hutojali anzisha kanisa la mrengo free.....
(na mie unikumbuke niwe mtunza kikapua cha sadaq)
Mwambie labda wewe atakusikiaWe acha tu. Huyo atoto hebu akuwache wifi langu
Watu na milundi yao [emoji85] [emoji85] [emoji85]Mwambie labda wewe atakusikia
Milundi ndio nini?Watu na milundi yao [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Avatar inahusika [emoji85] [emoji124] [emoji124] [emoji124]Milundi ndio nini?