Mshana Jr, havumi lakini yumo

Mshana Jr, havumi lakini yumo

Hello, Habari
Naitwa Lascoo, leo tuna wimbo mpya Youtube ni Lyrics video unaitwa #Wenge
Tafadhali nakuomba uchukue Dakika zako tatu kuutizama, Usisahau Ku-subscribe,Ku-like na Ku-comment,
Ahsate sana🙏, Mungu awabariki.👇


Kuutizama=kutazama
 
Kuna siku niliwaza kama mleta uzi...yaan Mshaba jr yupo mbele ya muda...anajua mambo mengi sana...yaan kitaa anakijua haswa...maisha ya chini, kati juu na juu zaid kashayapitia....yaan hata commnt yako akiizoom anaweza jua ww ni mtu wa aina gan...dah saf sana..ni shule nyingine...ubarikiwe sana mkuu
 
Kuna siku niliwaza kama mleta uzi...yaan Mshaba jr yupo mbele ya muda...anajua mambo mengi sana...yaan kitaa anakijua haswa...maisha ya chini, kati juu na juu zaid kashayapitia....yaan hata commnt yako akiizoom anaweza jua ww ni mtu wa aina gan...dah saf sana..ni shule nyingine...ubarikiwe sana mkuu
[emoji1545][emoji1752]
 
Mshana Jr
1.Upeo wake wa kufahamu mambo mengi....

2.Ni moja kati ya member ambae nyuzi zake zinaishi Vizazi hata Vizazi hapa JF..

3.Sijawahi kumuona mahali akigombana au kupishana na Member mwingine hasa kwa kutumia lugha za kuudhi au Matusi..

Pongeze kwako Mtani...
 
Dah leo ngoja niwe mpole takutumia selfies baadae kikuume zaidi[emoji23]
Cheki naye basi kama ana shosti wake mrembo tuongeze ujamaa na ushirikiano wa kijamii na kujamiiana
 
Mshana Jr
1.Upeo wake wa kufahamu mambo mengi....

2.Ni moja kati ya member ambae nyuzi zake zinaishi Vizazi hata Vizazi hapa JF..

3.Sijawahi kumuona mahali akigombana au kupishana na Member mwingine hasa kwa kutumia lugha za kuudhi au Matusi..

Pongeze kwako Mtani...
Nifagilie na mimi blazaako siku mojamoja upate heri duniani na mbinguni...
 
Mshana Jr
1.Upeo wake wa kufahamu mambo mengi....

2.Ni moja kati ya member ambae nyuzi zake zinaishi Vizazi hata Vizazi hapa JF..

3.Sijawahi kumuona mahali akigombana au kupishana na Member mwingine hasa kwa kutumia lugha za kuudhi au Matusi..

Pongeze kwako Mtani...
Napokea kwa unyenyekevu mkubwa mtani[emoji1545][emoji1752] mgomvi wangu mkubwa hapa jukwaani ni huyu mzee anayeutamani ujana Asprin [emoji23]
 
Napokea kwa unyenyekevu mkubwa mtani[emoji1545][emoji1752] mgomvi wangu mkubwa hapa jukwaani ni huyu mzee anayeutamani ujana Asprin [emoji23]
Makiwendo ni sistaangu. Sasa kama kakusifia ukadhani anajilengesha ujue umeula wa chuya. Na hata ukitumia yale mauchawi yako akabadili mawazo ujue mimi blazaake nipo.... Nitakubadilisha jinsia afu kikojoleo nakiweka usoni.... Nyambaf wahed
 
Back
Top Bottom