Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamtaka ww huna lolote😀😀Baadae umtafute umpe unachotaka kumpa😀Huyu kaka kajaaliwa kujua almost mambo mengi sana. Kila jukwaa hapa JF ana mchango wake mkubwa tu.
Be blessed kaka Mshana Jr
Hahahahaaa[emoji23]Huyu Mpare namkubali sana. Aliniuzia ofisi yake pale Msata kwa bei karibu na bure. Jamaa hana roho mbaya kabisa.View attachment 2373183
Dah hujamtendea haki lakini.. Maana kuna mawasiliano ya PM, tungemalizana huko, huku mngeona manyoya tuu [emoji23]Unamtaka ww huna lolote[emoji3][emoji3]Baadae umtafute umpe unachotaka kumpa[emoji3]
One love ❤ bro[emoji16][emoji1752][emoji1545]
Umeukumbuka huu usemi?Unataka kusema ni taasisi?
Kwa kipimo gani?Tanzania ni nchi ya pili kwa ulozi barani Afrika
Watanzania tunaendeshwa na hisia na sio uhalisiaHongera kwa ulozi
Babu unaota, huyu si walisema ni sister pale parokiani? Au kuna Kasie mwingine?
Babu umetisha.Makiwendo ni sistaangu. Sasa kama kakusifia ukadhani anajilengesha ujue umeula wa chuya. Na hata ukitumia yale mauchawi yako akabadili mawazo ujue mimi blazaake nipo.... Nitakubadilisha jinsia afu kikojoleo nakiweka usoni.... Nyambaf wahed
Nguvu moja.Mungu ibariki SIMBA[emoji7]