Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni tafute nikupe bia !! Kisu chako kikali sana we jamaa😀Dah hujamtendea haki lakini.. Maana kuna mawasiliano ya PM, tungemalizana huko, huku mngeona manyoya tuu [emoji23]
[emoji1]Kaka mshana njo huku tayari umedondokewa
HahahahNi tafute nikupe bia !! Kisu chako kikali sana we jamaa[emoji3]
Huku kujipendekeza ni kwa kiwango cha lami. Haya yanahusikaHuyu kaka kajaaliwa kujua almost mambo mengi sana. Kila jukwaa hapa JF ana mchango wake mkubwa tu.
Be blessed kaka Mshana Jr
Msamehe bure
Umeshtukia? Humu ndani kuna vituko sana. Yaani mtu anaweza kaa akawaza kuja baadaye kugombea ubunge wa JF basi anajianzishia uzi halafu anatumia IDs zake nyingine kama 10 hivi kuji support. Bila unafiki maisha ya Watanzania yanakuwa magumu saaaanaMultpl id
[emoji23]Huyu jamaa hata hili jina la id yangu nimelichukua baada ya kumfatilia sana story zake nikaja nikaikuta hii avatar yangu kaipost sehemu ikanivutia nikaidownload na kuingia rasmi kama memba wa jf [emoji3][emoji3][emoji16] Acha tumsifie kabla hajafa waswahili wanasema 'Mchawi mkemee lakini sifa yake ya kuruka na ungo mpatie'
Huyu kiongozi Ni mtu na nusuHuyu kaka kajaaliwa kujua almost mambo mengi sana. Kila jukwaa hapa JF ana mchango wake mkubwa tu.
Be blessed kaka Mshana Jr
Huku kujipendekeza ni kwa kiwango cha lami. Haya yanahusika
1. ID nyingine
2. Kuna kitu unahitaji....
Tafuta maisha. Fanya mambo ya msingi yatakayokusaidia.
UNAJIPENSA MWENYEWE... NI VIZURI...🤣🤣Love you[emoji173] Nazjaz hakika UNAWEZA!
Sawa sawaNamba yangu ya m-pesa ni ile ile tafadhali.