Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naukumbuka bro.. Leo mbuzi Loliondo vp timetable yakoUmeukumbuka huu usemi?
Napokea kwa unyenyekevu mkuu Pendaelli [emoji1545]Binafsi nikiongea mengi juu ya huyu ndugu nitaharibu tu, ukweli katika jamii yote hakuna asiye na cha muhimu na cha faida kwa wengine, hakuna asiye faa kwa lolote hata kama anaonekana namna gani, hakuna asiye na faida ya moja kwa moja.
Naami hata nje ya jf pia Mshana Jr amekuwa ni msaada kwa wengine katika mambo mengi sana.
Pamoja na kwa sote tuna chochote cha muhimu kwa wengine lakini huu brother amekua mwingi wa hayo kuzidi na kuzidi, na hayo yote ni majaliwa ndio maana si kila mtu yupo hivyo.
Brother zidi kuwa humble, na Mungu asikupungukie.
Hatuwezi kuwa kila kitu[emoji1545]Kwenye tech ndo bado
Una uhakika? What is technology?
Leo nina harusi, niko kwenye kamati ya maandalizi. Naomba tufanye next week. Ila kesho nina ample time. Naweza kuwepo pande hizo tangu mapema kabisaNaukumbuka bro.. Leo mbuzi Loliondo vp timetable yako
Kila wakati najifunza unyenyekevu na kushukuru kila ninaposoma mistari ya maandishi yakoNapokea kwa unyenyekevu mkuu Pendaelli [emoji1545]
Kweli. Ila maswala ya imani na kijamii upo gudiHatuwezi kuwa kila kitu[emoji1545]
Nitalipa kwa niaba
Mshana Jr amefanyika kuwa baraka kwa wengiBinafsi nikiongea mengi juu ya huyu ndugu nitaharibu tu, ukweli katika jamii yote hakuna asiye na cha muhimu na cha faida kwa wengine, hakuna asiye faa kwa lolote hata kama anaonekana namna gani, hakuna asiye na faida ya moja kwa moja.
Naami hata nje ya jf pia Mshana Jr amekuwa ni msaada kwa wengine katika mambo mengi sana.
Pamoja na kwa sote tuna chochote cha muhimu kwa wengine lakini huu brother amekua mwingi wa hayo kuzidi na kuzidi, na hayo yote ni majaliwa ndio maana si kila mtu yupo hivyo.
Brother zidi kuwa humble, na Mungu asikupungukie.
Pouwa kaka tuwasiliane pleaseLeo nina harusi, niko kwenye kamati ya maandalizi. Naomba tufanye next week. Ila kesho nina ample time. Naweza kuwepo pande hizo tangu mapema kabisa
[emoji23][emoji1752][emoji1545]Nitalipa kwa niaba
[emoji1752][emoji1545]Kweli. Ila maswala ya imani na kijamii upo gudi
Mshana Jr Soma Tena Elli Kirokonya Shimba ya Buyenze Taavid Smart911 antimatter Ivan Breaker Therealmike25 Malchiah GENTAMYCINE Utingo Mad MaxSina tatizo na mshana ila naona kama mnamkuza sana.
Hayuko kama mnavyo msifia.
labda ni Soma Tena Elli KirokonyaMultpl id
Heshima yako brother. Mwaka huu kama watatoa ile tuzo ya hadhi kama aliyopewa mzee Mohammed Said mwaka jana basi napendekeza iende kwako. Nadhani Mh. Max amesikia. Wale washindi wa stories of change tu wakitangazwa wakutunuku hiyo heshima. Unastahili na zaidi 🙏🏿Hahahahaaa[emoji23]
Dah kaka mkubwa thanks kwa hili.. [emoji1752][emoji1545].. Lakini hata akipata mwingine ni furaha yetu sote kwakuwa sisi tu familia mojaHeshima yako brother. Mwaka huu kama watatoa ile tuzo ya hadhi kama aliyopewa mzee Mohammed Said mwaka jana basi napendekeza iende kwako. Nadhani Mh. Max amesikia. Wale washindi wa stories of change tu wakitangazwa wakutunuku hiyo heshima. Unastahili na zaidi [emoji1545]
Well said!Huyu kaka kajaaliwa kujua almost mambo mengi sana. Kila jukwaa hapa JF ana mchango wake mkubwa tu.
Be blessed kaka Mshana Jr
Namba yangu ya m-pesa ni ile ile tafadhali.Nitalipa kwa niaba