Mshana Jr Mambo!

Tataaaaa!
Picha ndio linaanza, kwa mbali wimbo wa Kuch kuch hou tae unaanza sikikikaaa, tunaanza kuona bustani ya maua na mdada aliyevaa ushungi mwekundu ukipepezwa na upepo...
[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
Hahahaha[emoji23]
 
Kumbe mshana anaweza okota nazi chini ya mpapai.
Ngoja na mimi niendelee kuwa mganga nitawapata tu.
 
Chawi kuu la jf linasalimiwa [emoji4][emoji4]naona mtu analazimisha kurogwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…