Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Itakua umemuota
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaa mkao wa kufurahia [emoji323][emoji322][emoji323][emoji322]Nakusikiliza wew boss!
Hahahaha[emoji23]Tataaaaa!
Picha ndio linaanza, kwa mbali wimbo wa Kuch kuch hou tae unaanza sikikikaaa, tunaanza kuona bustani ya maua na mdada aliyevaa ushungi mwekundu ukipepezwa na upepo...
[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ameokoka sikuhizi[emoji4]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwaka huu father Krimas nimewekwa ndani kwa hiyo mwaka huu hakuna xmasView attachment 2052394
Hahahaha[emoji2]Siku moja moja unimiss na mimi nakuomba
Anaanzaj kwa mfano?Ameokoka sikuhizi[emoji4]
Dah.. [emoji2827][emoji2827][emoji2827]Chawi kuu la jf linasalimiwa [emoji4][emoji4]naona mtu analazimisha kurogwa
Hiyo "da" vp?! Hutaki?!Dah.. [emoji2827][emoji2827][emoji2827]
NatakaHiyo "da" vp?! Hutaki?!
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]basi mwororo Kuna jitu limenitibua nitakuja uniazime ndumbaNataka
Hahahaha[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]basi mwororo Kuna jitu limenitibua nitakuja uniazime ndumba
Waganga wanafaidi sana maisha asee.Hahahaha
Heri ya sikukuu[emoji323][emoji322][emoji23]Waganga wanafaidi sana maisha asee.
Wanakula kotekote kwa wadada na wanasiasa tena kiulaini tu.
Heshima yako mkuu
Haaa..!! Kwani hawezi?? Kwa taarifa yako sasa kaokoka[emoji851]Anaanzaj kwa mfano?