Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndugu leo usiku ukilala usizime taaNaomba niwe ktk Kamati ya kumnadi Mgombea wangu Mshana Jr
Viva Mshana Jr
Viva Uchawi Jf
Hebu leta kazi kwanza za huo urais na umuhimu wa cheo hicho kwetuBaada ya mchujo wa wagombea wengi hatimaye tumepata wagombea urais wawili watakaosimama kutetea nafasi ya urais jf
Hivyo bhas tarehe ya kura itakua ni tarehe 31 december
Na urais utadumu kwa mwaka na rais akishinda ataruhusiwa kumteua makamu wake wa rais
Lengo na kazi ya rais wa jamiiforum ni kuleta umoja na mshikamano na kuifanya jamiiforums ingare zaidi
Lengo la kuwa pamoja ni kuondoa mizizi ya ukabila, udini, uvyama, ukanda, rangi, na kuwaleta wana jf kuwa kitu kimoja
Long live jamiiforums
Baada ya mchujo wa wagombea wengi hatimaye tumepata wagombea urais wawili watakaosimama kutetea nafasi ya urais jf
Hivyo bhas tarehe ya kura itakua ni tarehe 31 december
Na urais utadumu kwa mwaka na rais akishinda ataruhusiwa kumteua makamu wake wa rais
Lengo na kazi ya rais wa jamiiforum ni kuleta umoja na mshikamano na kuifanya jamiiforums ingare zaidi
Lengo la kuwa pamoja ni kuondoa mizizi ya ukabila, udini, uvyama, ukanda, rangi, na kuwaleta wana jf kuwa kitu kimoja
Long live jamiiforums
Faiza fozy?The Boss namuona akitangaza kwenye media kujiuzuli kugombea baada ya kuona dalili zote za kutopata kura za kuridhisha kabisa kwenye huu Uchaguzi.
Labda amuimbe kibibi fulani hivi ambaye ni mpinzani mkubwa sana wa mgombea wa Upinzani amsaidie majini ili aweze kumshinda jamaa.
Vinginevyo mhmh!