Nitakuwa ktk Vikao vyetundugu leo usiku ukilala usizime taa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Angalizo:-
Maxence Melo ichukulie hii kitu kwa tahadhari kubwa!!! Hawakawii kusema "Rais wa jamiiforums ampongeza Jecha/Lubuva kwa kusimamia uchaguzi wa haki"
Au Rais wa JF aipongeza serikali kwa kutokupeleka misaada bukoba kwa wathirika wa tetemeko.
Hatua ya awali ya kuichukua ni kupeleka hii kitu chit chat.
Nimejilipua!!! Potelea mbali mshana jr akiwasiliana na masela wake wa kisiju.
Haa haaa utakua kwenye kamati ya ushindi mkuuKwani hamna nafasi nyingine mpaka ufanye conquest ktk nafasi yangu?
....Do not take JF that serious!Rais mteule atakuwa anaenda kuongoza serikali ya awamu ya ngapi?
Ataongoza kwa katiba ipi?
Vigezo vya kuwa rais ni vp?
Huu uzi umekaa kimabavu sana.
Mwingine akalale jela, urais mjitangazie nyinyi mkiwa kitandani na wapenzi wenu.
Mzee Ben hawa hapa wale wakubwa kabisa uliosema tuwaite.
Daaa ina maana hamna ke mgombea,,,,, why? [emoji26] [emoji26]
Something which you just did!!! Hahahaaahahaaa....Do not take JF that serious!