Mshana jr vs the boss ndo wagombea rasmi wa urais jf

Kwa hiyo mimi nimekatwa!!!.
 
Hawa wagombea wapo radhi kuwa chini Ya the king of all social media (networks) Le habari kubwaz
 
digital warusi wataidukua
 
huku hakuna kiungo mkata umeme[emoji23][emoji23][emoji23] watu wakikatwa huwa wanakwenda upande wa pili
 
Mshana mmempendelea mmemuweka na mtu mdogo sana mngemuweka na me Faiza foxy au Miss Natafuta by the way Mshana kura yangu unayo na ntakusaidia kupiga campain hasa kule MMU na HHM pia MMM (Matangazo Madogo Madogo)
 
[HASHTAG]#The[/HASHTAG] boss Yuko wapi? Mbona Kama hayuko serious Na uchaguzi!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…